Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Tcu wana tatizo gani wana jf?naona table yote ya profile na zingine zimetoweka?napologin sioni chochote hivi wezangu vp?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama ilivyo ada tunaelewa elimu ndo kila ki2, japo kuna wahun wanasema eti hela ndo kila kitu,ambapo ni SAWA NA MATUSI YA MATAWI DHIDI YA SHINA kigezo menyewe yanaonekana zaidi ila hayana nguvu na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale waliyoomba vyuo mchakato utatimia leo hivyo hadi jioni au kesho mapema selection sitakuwa tayari. Kaeni mkao wa kujua utaenda chuo gani kati ya mlivyochagua
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nilipokuwa nasoma shule ya msingi miaka ya 60, nilisoma kitabu ambacho kilikuwa na hadithi ya Sultani Kipingo. Mojawapo ya sifa za sultani huyo zilikuwa ni ulafi wa kupindukia. Kulikuwa na picha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimelog in kwenye account ya tcu,kwenye ile sehemu ya selection status,nimekuta pameandikwa processed badala ya not yet processed kama ilivozoeleka,na kwenye kila kozi niliyo omba na penyewe...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau,naomba anaeweza kunisaidia kupata mtu/shirika/tahasisi itakayonisaidia malipo ya masomo yangu nayotegemea kuanza mwezi october mwaka huu....nimepata admission ya Mzumbe Dsm campus...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
walimu nchini kenya wameanza mgomo wao leo kushinikiza nyongeza ya mshahara kwa 300%,je walimu tanzania mbona kimya vp au mmesha tatuliwa matatizo yenu kimya kimya au mnaogopa kutekwa. source tbccm.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
wanajamvi naomba kujua kuhusu education sponsorship kwa masters na degree kama kuna mtu anafahamu makampuni yoyote au individual source yoyote ya kusponsor watu wenye kutaka kujiendeleza kielimu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nna division 2 point 10, nimeaply educatoin UDSM bt kuna compeittion sana kuna aplicants zaidi ya 3000 na capacity yao ni 1170. vp hapo nawza kupata kweli
0 Reactions
3 Replies
846 Views
Kwa anayeweza kunipa taarifa ya namna nitakavyoweza kupata filamu ya Ngoswe penzi kitovu cha uzembe na Things fall apart anijuze.
1 Reactions
3 Replies
10K Views
wana jf naomba mnijuze koz ambazo wasichana hupendelea huko vyuoni manake kuna koz ukitaj watu wanakwambia n iya mabint
0 Reactions
21 Replies
2K Views
REQUEST FOR PUBLIC COMMENTS BY A TANZANIAN WEB STARTUP IN AFRICAN NEWS INNOVATION CHALLENGE Gushit is a Tanzanian based contents distribution and engagement startup operated by Jigambe...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Jamani nina kiasi hiki cha pesa $47000 kwanza kabisa ningependa kujua ni sawa na shilingi ngapi? Za kitanzania pili ningependa kuomba ushauri nifanye biashara gani? Kwa kiasi hiki cha pesa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF...ni drvng school gan apa Dar inayotoa mafunzo bora ya udereva.?!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wana jf naomba mnijuze hasa hili somo la communication skills linahusika na nini hasa huko chuo? plz majib yawe ya kina!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sio majungu anaetaka atembelee ajionee kwa macho yake! Nilicho kiona; 1 Mwalimu mkuu hana uwezo wa kuwatiisha walimu! 2 mwanafunzi kila siku hadi j/ mosi lazima aende na mia4 mia2...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau, Naomba nifafanulieni kuhusu Certified Copies...Kuna baadhi ya watangaza ajira/kazi hutaka certified copies..Hii ina maaana gani?? Ni original copy iliyopigwa muhuri wa chuo au muhuri ya...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
kwa yeyoye anayejua duka linalouza viumbe mbali mbali wanaotumika kwenye mitihani ya biology practical kama vyura n.k kwa dar hapa naomba anijulishe. Nahitaji kwa haraka.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa anaejua please,maana wengne hatujui hata kinacho endelea huko!
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Kama wadau wengine walivyo na hamu ya kujua vyuo walivyopangwa mimi shahuku yangu ni matokeo kutolewa kabla ya 15 August kwa maelekezo niliyopewa ni kwamba chuoni 1st year wanatakiwa kuripoti wiki...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…