Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hbr wakuu, mm nina second upper class toka SUA, nataka kuchukua master in aquaculture, ombi langu kwenu mnisaidie jinsi ya kupata sponsors, nina maana nisaidiwe tips za kufuata ili nipate sponsors...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mademu wa Chuo ni wajanja sana wamewapanga Wanaume wa chuo katika makundi makuu matatu kama ifuatavyo..!! Ili kutimiza haja zao za kimapenzi GROUP1¤Hawa Wanaume ni kwa ajili ya Pesa..siku zote...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
total applicants=2196,admission capacity=50.eligible=2111.1st choice=355....me najijua nshakosa chuo hadi hapo mwaka huu
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana jf nahitaji kumfahamu mwanamke mtz kuwa rubani wa ndege na cv yake kwa ujumla!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Serikali imejitahidi kujenga shule za sekondari hapa nchini karibu kila kata.Lakini kuna changamoto nyingi zimejitokeza ikiwemo upungufu wa waalimu na vitendea kazi(vitabu, maabara n.k).Hali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama elimu yako sio ya mchina, badili sentensi hii kwa kingereza. BABA MIMI NI MTOTO WAKO WA NGAPI? Nipe jibu nicheke kabla cjalala!
0 Reactions
1 Replies
964 Views
Kwa wale wanaotaka kufanya mitihani ya Bodi Nov 2012 .Mafunzo yamesha anza kwa module E&F katika kituo cha Apt Financial Consultant Kwa mkoa wa Dar es salaam na Arusha. Wahasibu na Wakaguzi wa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji kusoma mambo ya kuandika proposal kwaajili ya kuomba fund yakuanzia projects.Je kwa Mwanza nnaweza kupata chuo kinachofundsha fani hiyo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana Waziri wa elimu Dk.Kawambwa ametoa mwongozo wa uwiano wa ngazi za elimu hasa degree kati ya vyuo vya umma na binafsi. Kama kuna mwana JF ameupata naomba atuwekee humu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sasa ndugu zangu kama nafasi tu kwa ajili ya kufanya field ili kuipata nimehonga pesa, sasa je kupata kazi itakuwaje?? Hebu funguka mwenzangu.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wana jf naomba mnisaidie sababu kumi zinazompelekea mwanafunzi wa chuo kudisko!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Siku moja mfanya biashara wa Baghdad alimwendea Bahlul kwa kutaka ushauri wake. Alimwambia: "Ewe Sheikh Bahlul! Naomba ushauri wako katika ununuzi wa bidhaa ambazo zitanipatia faida nyingi."...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu naomba mnixaidie kuusu competition ya kupata je competition ni kubwa hadi kwenye vyuo kama st john,tumaini n.k
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Iwapo magereza yetu yangeamua kuanzisha program za elimu na iwe lazima kwa kila anaeingia mle, naamini tusingekuwa hapa tulipo leo, maana naona ama kujiaminisha wengi wa wafungwa hujiona wasio na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana jf mim nauliza ngazi ya kuanzia form6 kwenye majesh mbalimbali kama magereza,polisi,uhamiaji ,zimamoto nk
0 Reactions
1 Replies
1K Views
form 6 leaver,naenda kusoma prcure,Je after bachelor mitihan ya bodi ipo?procurement audit ni nin?,uwe nondo zaid nin uwe nacho au uongeze kama ziada....TEL ME PLZ.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tcu
Nimeambiwa TCU wametoa majina ya watu wanaopaswa kurudia kufanya/kurekebisha application zao. Ntayapata wapi hayo majina?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kuna kozi moja ya sua inaitwa agro-economics and busness,jumla ya wanafunz walio aply ni 3391,ambao wako eligible ni 2896,walio iweka kama 1st choice ni 890.....kazi ipo hapo mwaka huu.
0 Reactions
68 Replies
6K Views
Hawa ndio wanaohusika na kutengeneza Mitihani, kuteua watunzi wa mitihani na kuchagua wasahihishaji. s/n SOMO WARATIBU WAKRISTO WARATIBU WAISLAMU JUMLA 1 UALIMU 5 2 7 2 HISTORY 2 0 2 3...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
wanajamii naombeni mtu anayeyafahamu mazingira ya TIA mtwara aniambie
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…