Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

kwa wale wanaohitaji msaada wa mathematics, au kama una mtoto wako,ndugu yako mwambie atumie hii website, ni nzuri sana. kuanzia wa secondary mpaka university, ina kila aina ya mahesabu...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
wakuu,niliapply kwenye cas-tcu,lkn nimekuta kozi nilizowekewa eligible ni bcom-finance ya udsm,economics-udsm na agro-economics ya sua na kila nikijaribu kubadilisha baadhi ya kozi nilizowekewa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
naomba mweye kujua mahali ninaweza pata kitabu cha A comprehensive Grammar of English Language by Randolph Quick, Sidney Greenbaum, Geoffrey Leech kwa kununua
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naomben msaada kuhusu kupata kitambulisho cha mpiga kura au passport ili nitume copy kwa bodi ya mkopo halaf je ni lazima kutuma hiz data?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jaman mimi niliaply Dsm journalism ya kwanza na mass com ya 2 na zote nili qualify(eligible) ila baada ya kuuliza kuhusu izo coz nikaambiwa zipo nje ya compus na kama coz ilikuwa ni non-priority...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau naomben tofauti ya ivyo vitu viwil au ukipata 0% unapata ela ya chakula lakin fee aupew na no loan hauna vyote,anaejua anifaamishe na wengine wacofaham
0 Reactions
4 Replies
1K Views
......
0 Reactions
58 Replies
5K Views
katika selection zinazoendelea Tcu pamoja na kuanzaj kwa mchakato wa kuonesha qualified na not qualified lakini kwa nini kila alieomba udom hajafanikiwa?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni ukweli kuwa sasa english imekuwa lugha ya dunia, ni bahati mbaya tumejifariji na kiswahili na kushindwa kuwapa watoto wetu helimu nzuri hasa uwezo wa kuongea english kwa ujasiri kama...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wana JF watu tunaenda field nextwk BODI YA MIKOPO ipo kimya, hatuna pesa za field. Tutaishi vipi huko?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu p0leni na majukumu... Kwa yey0te anaye weza kunipa msaada ktk swali hili afanye hivy0 tafadhali... ''If an aqueous solution boil at 100.5'C, at what temperature does it freeze? (For...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu, mwakani nataka kumpeleka shule Jr. Kwa sasa natafuta shule ya awali na msingi, Morogoro, Arusha, Iringa,Mbeya, Mwanza, au Dar (spendelei sana dar)! Kama ni nje ya Tanzania iwe...
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Jamani mimi nauliza kama 'water resources and irrigation engineering' ina soko? Na utafanya kazi kwenye maeneo yapi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nasikia wametangaza, mwenye taarifa zaidi tafadhali!
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Ni ishara na uthibitisho wa ufisadi.Ni pale Chuo Kikuu cha Dodoma almaarufu kama UDOM.Fedha kwa ajili ya mkopo wa ada kwa wanafunzi waliomaliza chuoni hapo mwaka jana zimeyeyuka.Wanafunzi hao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana Jf husika kichwa cha habari hapo juu. Tumeweza kushuhudia migomo kadhaa ya wanavyuo mbalimbali hapa Tanzania kiklwemo chuo cha UDOM. Miezi kadhaa iliyopita palitokea mgomo kakatika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ukiandikiwa ELIGIBLE au NOT ELIGIBLE kwenye ELIGIBILITY STATUS na QUALIFIED au NOT QUALIFIED kwenye QUALIFICATION STATUS je kuna tofauti?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani wanajf wenzangu kwa wale waliosoma BVM au wenye uelewa juu ya hii kitu,tukizungumzia hali ya kitabu chake and future prospectus meaning value yake pamoja na maslahi (no jokes),asanteni!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
:hand:Wana JF; Binafsi nimesikitishwa sana na Bajiti ya Mheshimiwa Dokta......... ambayo haikuzingatia kuwa kuna watu ambao ni walalahoi pasee! Angalia inavyotaka kodi iongezwe kwenye mawasiliano...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo tarehe 18 wanafunzi wanaanza mitihani yao ya mwisho wa semister napenda kutumia fursa hii kuwatakia kila la kheri katika mitihani yenu,.....,.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…