Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ni siku ya nne leo maji hayapatikani udsm, kweli mambo hayaendi, vyooni na hakuingiliki! Shukrani hata kwa haya maji ya clean water yanayoletwa. Najua na ndugu zetu wengine waliopo nje ya Udsm...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hebu jisomee mwenyewe hapa! 5 Graduate Programs That Aren't Worth the Money - Yahoo! Finance
0 Reactions
6 Replies
2K Views
TCU wametutumia mesej kuwa kama una koz uliomba ukakuta hau-qualify unaweza kufanya mabadiliko. Chakushangaza hamna hiyo option ya kufanya mabadiliko au kuongeza program code, wadau kama kuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Habari za siku nyingi wale wote mliosoma katika shule yetu ya TOSAMAGANGA mkoani Iringa. Kama wadau wakuu wa Tosamaganga, naomba tuanzishe TOSAMAGANGA INVESTMENT GROUP ambapo lengo kuu la...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Celal Şengör claimed in the program that human beings' ancestors were primitive, cave-dwelling creatures. This is the "stone age" deception put about for many years in order to be able to...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika hali ya kusikitisha serikali imetenga kiasi kidogo cha fedha kwa bajeti ya 2012/2013 kwa ajili ya chuo kikuu cha Dodoma. Imebainika kuwa Tsh. 175 million zimetengwa kwa ajili matumizi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hivi kama mtu kwenye matokeo yake ya form four akaandikiwa alama E kila sehemu inamaanisha nini? Naombeni mnieleweshe jamani.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naomba kuuliza,sisi tuliofanya application kwa kutumia mfumo wa cas-tcu tumekuta baadhi ya programs tulizo zichagua zimeandikwa pembeni yake not eligible au not qualified na wkt huo huo tumetimiza...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hivi km umeaply tcu na haujaaply vyuo vingine na ikitokea hujachaguliwa utafanya nini wakati muda wa kutuma maombi ktk vyuo vingine utakuwa umekwisha,,,,
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Round off 324 589 to the nearest thousands. Kuna vitabu vipya vya form 1 ambavyo vimenichanganya. Wanadai kuwa,'if the digit immediately to the right of the required place value is exactly...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
ndugu zangu nimesahau password ya TCU nataka ku loggin nicheck kama nime qualify ama nimedisqualfy vyuo ambavyo nlifanya chaguzi NAOMBENI MSAADA WENU TAFADHALI
0 Reactions
4 Replies
1K Views
mimi nasoma kozi hii "bachelor of accounting in public sector accounting finance and investigation" pale mzumbe university hivi kweli ina soko!!? na je naweza nikafanya kazi katika private sectors??
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hbr wana jf wooote!! Natumain mpo poa kabisa! Ok nianze moja kwa moja na maada ambayo imenileta hapa. Kuna hk chuo kipo maeneo ya ubungo plaza, tumeskia matangazo yake sana hasa redio clouds...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
tembelea tovuti ya www.tihest.org for clinical medicine certificate and diploma opportunities Pia diploma in health information management and finance. Ukiwa na swali uliza kupitia email ya institue.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Si maneno yangu.Ni maneno ya mwanafunzi wa mwaka wa nne wa Shahada ya Kwanza ya Uhandisi-Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anayemalizia masomo yake ya miaka minne chuoni hapo.Mwanafunzi huyu aliwahi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni yule aliyetuonyesha website za kujipatia elimu ikiwemo pia Khan Academy, sikumbuki alikuwa ni nani lakini popote ulipo pokea shukrani zangu za dhati, na endelea na moyo huo. Nimesoma mambo...
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Natoa pongezi kwa shule ya sekondari makongo imetoa wengi kimichezo na kitaaluma,hawa wamesoma makongo.kaseja, pawasa,kalala junior,bambo,marehemu chifupa ,jose mara,nk.jamani makongo mbona...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
eti bcom ya udom ni nzuri kweli,ukiilinganisha na ile ya udsm?walimu wa kutosha wapo kweli,na mtu ukigraduate kuna uwezekano wa kupata ajira?ni hayo tu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nisaidieni ,mdogo wangu amemaliza form six na kupata division 2,alichukua PGM na lengo lake ni kusomea urubani wa ndege,nijuzeni vyuo vinavyotoa taaluma hii hapa Afrika na Ulaya ili niweze...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wanajamii. Nina diploma ya accountacy. Nataka soma wasomo ya Bodi ya Wagavi. Lini wanarejista na wapi? Nitaanzia module gani? Naomba julishwa na ushauri pia.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…