Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Guys,cjui nfanye nini coz nina 3.16 ya HKL-(ees)lakin nina F ya GS.Hapo ndo pananichanganya maana nilipenda kusomea LAW au MASS COMMUNICATION,lakini cjui cha kufanya naomba ushauri.je,nkifanya...
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Kuna baadhi ya walimu shule ya sekondari Kahororo iliyopo Bukoba-Kagera wamekuwa wakidhalilisha taaluma zao kwa kujikombakomba kwa Afisa Elimu kwa kuvujisha siri za shule na mienendo ya walimu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Huyu mkuu wa shule ya sekondari Rwamishenye amekuwa kikwazo cha maendeleo ya michezo kwa wanafunzi hapa Kagera.Mfano mzuri mwaka huu kwa makusudi amezuia shule yake kushiriki mashindano ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya walimu shule ya sekondari Kahororo iliyopo Bukoba-Bukoba wamekuwa wakidhalilisha taaluma zao kwa kujikombakomba kwa Afisa Elimu kwa kuvujisha siri za shule na mienendo ya walimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dodoma,Profesa Kikula,ameahidi kukifunga chuo ikifika tarehe hiyo bila bodi ya mikopo kutuma hela za chakula.Wanafunzi Udom walitakiwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
EAST AFRICA HERALD: UK aid for education in east Africa is failing 'Like' us on facebook for more exclusive content!
0 Reactions
0 Replies
840 Views
Kama ningekuwa na uwezo wa kushawishi, ningeishawishi serikali iingize kozi ya maandishi ya Shaaban Robert katika mtaala wa o level na A level ili vijana wafahamu namna gani SR aliweza kuuona...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Inasemekana kuwa Watu toka Nchi Fiji asili yao ni Tanganyika!Walikuwa wakiambiwa na Mababu zao kuwa asili yao ni Tanganyika!Nimejaribu kuongea na wenyeji wahuko kupata ukweli na wakanithibitisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KATIKA MAZINGIRA YA KUSHANGAZA WALIMU WA WILAYA YA BAHI WAPATAO 25 WAMEFANYISHWA KAZI YA KUSAHIHISHA MITIHANI YA MOCK WILAYA KWA UJIRA WA SH.5000 KWA SIKU KWA MDSA WA SIKU TANO NA HATIMAYE KUOMBWA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
binafsi nimefarijika sana na maamuzi ya hawa mabwana wakubwa, katika hili la kuto kutoa mikopo katika kozi za ICT (Computer science, IT, INFORMATION SYSTEMS, etc.) sasa naamini tutapata wataalam...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Katika hali ya kushangaza wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma wanatamani chuo kifungwe ili angalau wende kwao wapate kufurahi utu wao.Hii ni kutokana na sababu kuwa serikali kupitia bodi ya mikopo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nataka kwenda kusoma sanaa South Afrika, naombeni msaada wa mawazo kuhusu chuo kizuri na chenye ada nafuu.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kma inawezekana ,waache ukimya kwa wa2 ku2mia kiswahili kisicho sahihi,hasa kwa viongozi.Mfano wanaposema kilimo cha kahawa.Wanatakiwa kusema kilimo cha buni.Kwan kahawa ni zao linalotokana na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina mdogo wangu anayesoma katika jiji la Mwanza,shule moja ya kata, iitwayo Mtoni sekondari; amenieleza kitu kilichonisikitisha sana, kwa sasa wao kule wako katika mitihani ya mock.. Kilichotokea...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Chuo cha Udom kimerudisha baadhi ya wanafunzi waliofukuzwa takribani mwaka mzima sasa. Mpaka sasa wanafunzi waliorudishwa ni 268 ambao wanatarajiwa kuripoti chuoni kati ya trh 2-3 mwezi wa sita...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nashangaa sana, bagamoyo mgogoro kati ya Halmashauri, idara ya elimu sekondari na DEO hawa watu wamuwaoni? nani anahusika, kutoelewana na maneno maneno yanayoendelea KAWAMBWA huoni? au YALIYOMKUTA...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu naomba kuelimishwa kuhusu hili neno"NYUMBA YA MILELE"kwa nijuavyo mimi maana ya milele ni kudumu,sasa maana ya nyumba ya milele ni nyumba ya kudumu,but ktk elimu na imani za dini zinasema...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za uhakika kabisa ni kwamba Mkuu wa chuo cha mkwawa iringa amepewa barua ya kukabidhi ofisi ifikapo Jumatatu asubuhi sambamba na wasaidizi wake 2! Na hii inatokana na tuhuma nzito za...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
wanazuoni naombeni kuelimishwa tofauti ya bachelor of scince in education na bachelor of science with education. thanks in advance men!
0 Reactions
1 Replies
952 Views
Natafuta chuo ambacho kinatoa Masters in Quality Management Systems au quality assurance katika vyou hapa nchini au nje. nahitaji msaada wenu wana-JF
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Back
Top Bottom