Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

jamani naombeni msaada nilikua najirigister heslb nilipofikia pahali pakusubmit ilinianzekufanya application ikanirudisha mwanzo kabisa na nilipoingiza ile transaction id tena inaniambia already...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu nimejarib kuregister TCU, kila wakati inaniambia Voucher doesn't exist na nimenunua jana NBC bank na kuiscratch bila tatizo !! Naomba msaada mwenye idea tatizo ni nini...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Posted by Ta Muganyizi | May 14, 2012 Katika hali inayochanganya TCU walitoa tangazo kuwa kwa wale wahitimu wanaotaka kujiunga na vyo vikuu lazima wanunue vocha kwenye Benki ya NBC watu walinunua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada wadau kama kuna anaeweza kunisaidia ili nipate Material ya Profesional Stage I & II, pia wapi naweza kupata vitabu! au msaada hata wa kusoma pamoja kwa wale wanaofanya pepa za Novemba!!
1 Reactions
5 Replies
7K Views
The funds set aside for lending to students of higher learning institutions have been exhausted, the board operating the account announced in Dar es Salaam yesterday. George Nyatega who is the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani nimepata Pysics E, chemistry E, Biology B, div 2. je naweza pata medicine popote maana MUHAS/CUHAS BUGANDO ni ndoto. Nisaidieni
0 Reactions
9 Replies
2K Views
...
1 Reactions
0 Replies
975 Views
Jamani ningependa kujua kuwa ukisoma hii course unapanda daraja na kuwa sawa na mwenye diploma ya education yaani kulipwa mshahara huo wa diploma
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MUMPS, Dalili zake unavimba kwenye TAYA, HOMA, KICHWA KUUMA, KUPATA TAABU KUMEZA CHAKULA nk. wa-JF naombeni msaada wenu please!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji ushuri kutoka kwa yeyote anaefaham course ya bachelor of science in land management and aluation pale Ardhi aniPM. Ahsanteni sana
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Wana JF Naomba kujua kwanini katika miaka miwili ya 2010/2011 vyuo vikuu vyote Tanzania vimekuwa kimya,hakuna mijadala ya wanafunzi kudai haki zao,hivi wote kwa sasa wanapata mikopo? wanaridhika...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mkuu wa mkoa wa iringa ameagiza wajumbe wa tume ya uchaguzi chuo kikuu cha ruaha(ruco) kujiuzulu.tume hiyo iliundwa ili kusimamia uchaguzi wa serikali ya wanachuo ya ruco utakaofanyika baadaye...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba msaada juu ya link au website ninayweza kupta matokeo ya Form IV ya 2006.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Salam naombeni msaada wa chuo chochote nchini India au Malasiya cha Bachelor in computer engineering. Tafadhali kiwe na bei nafuu kwa mtanzania kama mimi. Mchango wenu jamani nautegemea.Pia na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Udom ni janga la taifa,kwa kipindi kirefu tumekuwa tukifuatilia mambo yanavyoendelea chuo kikuu cha Dodoma(udom),kiukweli chuo hiki kimekuwa kikiendesha kibabe,kisiasa na ni chuo pekee Tanzania...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Wapendwa wana JF, 1. Ningependa kwanza tufahamu kuwa kuna hii nafasi ya ufadhili kimasoma (hapo juu) ambapo sisi kama watanzania tuna nafasi ya kuomba na ikiwa mtu atakuwa na bahati basi anaweza...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Salaam wadau. natafuta kujiunga na chuo kizuri cha MEDICAL india,malasya au songapore chenye bei pouwa. naomba msaada jamanai its urgently thanks in advance:frusty:
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina DIVISION ONE POINT 8 je ni coz gani nzuri ambayo naweza kusoma UDSM au mzumbe kwani ndo vyuo ninayo prefer most,naombeni mwenye copy ya prospectus za hivi vyooa anipatie.Natanguliza shukrani
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Nataka kusoma India fani ya Computer Science.Chuo gani wa Tz wanakwenda wengi na ada ni sh ngapi kwa mwaka? Kama uko huko nipe feedback
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu habarini za mchana mimi nimejaribu sana kuapply bodi ya mkopo kwanza kupata hile code ni usumbufu kwa njia ya mpesa maana kila nikiandika ile namba yangu mfano S1234.0056.2009 naambiwa not...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom