Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naomba mnisaidie wadau nimeshindwa kabisa kuapply through CAS. column ya kwanza imeandikwa enter code ya pili code cjaelewa naandika nini kweye hii ya kwanza
0 Reactions
6 Replies
2K Views
people's power
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Mwalimu anasahihisha madaftari mengi kiasi hiki! Na bado maslai yake inapigwa danadana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nchukue dakika mbili niiambue mamlaka za JK TAMISEMI wanamambo mengi ya ujenzi wa nchi/taifa kuanzia shinani/vijijini ELIMU ichukue shule zake, kuruhusu madiwani kufuatilia shule huu ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba ushauri wenu mdogo wangu wa kike kapata dv 3 ya 16 atapata chuo kweli naomba mawazo yenu kwa anayejua G/STUDIES-S HISTORY-S DIVINITY-E KISWAHILI-E ENGLISH-S
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hivi sisi watanzania tutaendelea lini jamani,nawapongeza Tume ya sayansi na mawasiliano kuweka mazingira mazuri ya watu wa IT kufanya kazi zao,pia kuna access free ya internet wireless,sasa kuna...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna wadogo zangu ambao ni walimu kwa level ya degree. Wameajiriwa mwezi wa pili mwaka huu. Mshahara wa february hawakupewa wakaambiwa majina hayakwenda hazina,wakakubali. Mwezi wa tatu mishahara...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu wangu wa kazi, huyu dogo anaweza kupata japo Diploma ya Ualimu chuo cha Serikali? Division IV-19 G/STUDIES-F PHYSICS-S CHEMISTRY-S BIOLOGY-F BAM-S
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari waungwana!!! Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa pili semister ya pili RUCO, Faculty BA(EDUCATION) mpaka sasa sijapata mkopo wa semister za mwaka wa pili ikiwa taratibu zote nimekamilisha, Je...
0 Reactions
0 Replies
947 Views
Jamani naomba msaada wa haraka. Nina dogo wangu nataka nimpeleke india kusoma Bachelor ya computer engineering,kwasababu anauweza.One of his project www.Nitafute.In naombeni msaada kuhusu chuo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani naomba mnisaidie hili swali,the climatic hazards;i need only three with their causes,effects and how to measure it,thankx i need your contributions.g.9t 2u all
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Phy-S , chem-D na maths-B (div 2.12) .... Naeza pata civil engeneering udsm????
0 Reactions
11 Replies
1K Views
WanaJF, Naomba msaada kuhusu marejesho ya mkopo toka Bodi Ya mikopo ya elimu ya juu Tanzania. Mimi ni mdaiwa wa hii bodi, nimeanza kazi mwaka 2011 December hapa jijini Dar es Salaam. Mwajiri...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada kwa aliyefanikiwa kuapply leo hii maana hawa jamaa wametuambia kwamba tutaanza kuapply leo trh 7 mwezi huu lakini bado system yao inakataa kupokea program choice zaidi ya nne nawakati wao...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Tisa Jamadi Thani mwaka 1433 Hijria, inayosadifiana na terehe 5 Mei mwaka 2012 Miladia. Siku kama hii ya leo miaka 1003 iliyopita alifariki dunia mjini Cairo...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Poleni wote mlio kwenye mitihani ya CPA,MUNGU atawajalia safari nanyi mtaclear
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna tetec kuwa sauti ni chuo cha kikristo, wanafunzi lazima wavae sket ndefu sana na magauni km masista na wavulana hawaruhusiwa kuvaa jeans? Na jumapili lazima kanisani. Geti hufungwa jion saa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wadau, what are the minimum entry qualification for MD at KCMC
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania ikishirikiana na Baraza laTaifa la Elimu ya Ufundi inapenda kuwataarifu waombaji wa Udahili wa elimu ya juu kwa mwaka 2012/2013 hasa kwa wale wanaotakiwa kuomba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jaman wana jf embu nishaurini nimefaulu kwa kiwango cha juu HGK ila watu wananiogopesha kuhusu law eti mkopo hupewi,ajira utasota na pia mambo magumu sana! Na mm naipenda sana hii fakat ushaur...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom