Political situation of Tanzania on the start of 2012 will likely be the legacy of 2011. Political disputes among opposition and also in the ruling party remained unsolved even yesterday when the...
Naomba wana Jf kuuliza baada ya selection ya f5 matangazo huwekwa wapi? Ni shule aliyosoma mwanafunzi, au kwenye media au ni wapi?
je kama mwanafunzi alichagua combination fulani, wakati wa...
Naomba wa JF mniwie radhi kama hii itakuwa imesawahi kutolewa hapa, ila ni kwa umuhimu wake ndo nimeamua kopst.
Sekata ya elimu ni sekta nyeti kabisa katika nchi yoyote.
Ni kitu cha ajabu kabisa...
Wanafunza wa SAUT Mwanza wanaochelewa kulipa tution fees uongozi wa chuo unawatoza faini ya tsh 100,000 kwa kila semester.Total ya laki mbili kwa mwaka kwa wale wanachelewa semester zote...
Huku mgomo wa madaktari ukiwa umeshika kasi, Wanafunzi zaidi ya 1000 wa Muhimbili wameandamana hadi wizara ya Afya kudai fedha za Chakula.
Hii inanikumbusha hadithi ya Farao na wana wa Israeli
viongonzi wa serikali ni wezi hasa kitengo cha elimu kutokana na kutodhamini elimu ya kitanzania mfano tuangalie matokeo ya darasa la saba, halafu tuangalie kidato cha nne bado matokeo mabaya...
Kuna makala moja ktk gazeti la Mwanahalisi la Leo kuhusu majibu ya Dk Ndalichako aliyoyatoa Zanzibar alipokutana wanahabari.
Hoja ya msingi.
Ndalichako amekataa kukiri kwamba mtihani 2011...
I will be carrying out Training on RESEARCH PAPER WRITING, POLICY PAPER DESIGN/ PREPARATION. in Arusha this will be done at Arusha Hotel,in Dar es salaam we will advise. number of participants are...
WE HAVE A MODERN LIB FOR THE PUPILS FROM PREPARATORY CLASS 1- TO SEVEN, THE LIB PROVIDES SEVERAL CATALOGS ,DICTIONARIES AND CURRENT BOOKS :eyebrows:. IT ENCOURAGES READING CULTURE TO BOTH...
SAMUEL KARANJA | NATION Kamau Wilfred Githuka from Pioneer School in Maragua is carried shoulder high by his fellow students in the school on February 29, 2012. He was the top student in Muranga...
waungwana,naombeni mnipe mwongozo kati ya hizo kozi tatu hapo juu ni ipi nzuri,nafikiria kusoma mojawapo mwaka huu.na je mtu aliyesoma HGE ataweza kuchaguliwa kweli?asanten
Naomba kujua hasa kuhusu hii course ya BsC in Environmental Engineering inayotolewa hapa ARDHI UNIVERSITY (zamani UCLAS).
Kwa hapa bongo ni kazi gani hasa hawa watu wanafanya na vipi kuhusu...
habari zenu,
Nina ndugu yangu amehitimu kidato cha nne amepata division two na nia yake hasa ni kusoma combination ya CBG
Je ni shule gani za binafsi nzuri ambazo zinafundisha hii combination
Nimehtimu kdto ch IV mwka jana nina point 24 na credit tatu ninazo,civ-C,his-A,eng-C,kisw&geo-D! Tatzo nina wacwac cjabalance! Hebu niambieni wanaJF,nitachaguliwa? Mana'ke pressure haijashuka bado!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.