Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

imekuwa ni kipindi kirefu swala la UDOM kujiunga na kuwa accredited na NBAA likufuatiliwa lakini kila wakati tunapewa ahadi hewa zisizotimilika.. sasa najiuliza kuwa je ni chuo ndio wazembe? je...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Jengo kuu la utawala udom wafanyakazi wake wamekutwa na sintofahamu,baada ya chumvi ya kuweka kwenye mboga kumwagwa milangoni na kwenye makorridor huku kukiwekwa alama ya msalaba,haijulikani ni...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
:bange::bange::bange:Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu Tumaini University-Iringa,fani ya BBA(Human resource). Ukweli inasikitisha sana na inaumiza sana tunayotendewa sisi wanafunzi. Angalia...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
wanafunzi kumi wa college of informatics UDOM wame discontinue kwa makosa ya kushikwa na nyenzo(nondo,ngima,vikaratasi) katika chumba cha mtihani
0 Reactions
19 Replies
3K Views
student who obtained 0% in an exam
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Walimu aliyepata waraka huo tunaomba atuwekee hapa tujue haki zetu, tunapo anza kazi.
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Hivi madeni yote ya Walimu yamelipwa Mwezi Januari kama Naibu Waziri wa Elimu alivyotamba? Mbona Walimu wengi wanaodai malimbikizo ya mishahara hawajalipwa?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni jambo la kushangaza kwa Serikali inayojiita Sikivu huku ikiwa inayumbisha Raia wake kila Kukicha. Mara leo utasikia hakuna Mitihani tena wa Taifa kwa S.T.D IV au FRM II Mara hakuna kulipa Ada...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ERNEST BONIFACE MAKULILO (MAKULILO, Jr.) (Nimekuwa naandika makala kwenye gazeti la Jamhuri ambalo linatoka kila siku ya Jumanne. Hii ni makala yangu ya kwanza kutoka kwenye gazeti hilo. Hadi...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
wadau vp?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
mm ni mwalimu nimemaliza bachelor's degree UDSM main campus,nimepangwa sumbawanga manispaa nahitaji kubadilishana na mtu yeyote aliyepangiwa tanga,dar,arusha. piga 0763163677
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Hivi hofu na shauku ya Vijana wetu waliomaliza ni kua hamu ikizidi kupata walichopanda ni ishara ya kufanya vizuri jameni wana jf
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana JF Mimi napenda sana nije kuwa mwandishi mkubwa sana wa makala, napendelea kuandika makala juu ya mazingira na jamii na napenda makala nitakazotoa ziwe zimesimama kweli kweli...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani Can u imagine eti PESA ya mtihan wa TAIFA (NECTA) form 4 imerudishwa kwa hiyo mzazi ataendelea kumlipia mtoto wake mtihan huo Tsh. 35000/= yaan kiufupi mwananchi wa kawaida anaendelea...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nipo kibandani kwangu nafanya vishughuli vyangu huku nasikiliza karedio kangu.Kama mjuavyo wadau,sisi wazee wa enzi zile huwa tunapenda kusikiliza miziki ya enzi hizo. Basi ilipotimu saa nne...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tumewahi kusema sana kuwa Serikali ya kisanii ni hatari katika kuendeleza mfumo wa elimu hapa nchi. Ni takribani miaka mitatu prof. Maghembe alisimama kwa mbwembwe na kulitangazia taifa kuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ICT Exam
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello wadau Nimemaliza VETA third year Auto Electric course na nimefaulu vizuri. Always huwa nataka kufanya kazi as Caterpillar Operator au Engineer to begin with, in any industry but mainly...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wadau mlioko jikoni, naomba kuuliza ni kwa nini hamjawapangia vituo walimu waliomaliza shahada ya Elimu katika Chuo Kikuu Cha Tumaini tawi la Makumira? Nimejaribu kufungua files zote hakuna...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wadau naomba msaada kwa mtu anayefahamu chuo kizuri kinachofundisha basic driving kwa kiwango kizuri nina mwezi mmoja tu wa likizo niwe naweza kuendesha gari ili niweze kufanya kazi zangu vizuri...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…