Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ufundishaji wa Masters of Business Administration(MBA),Tumaini University unatia aibu sana. Utakuta mwanafunzi hana uwezo wa mathematics, alikotoka kote masomo ya mathematics kapata "F" a.k.a...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Ndugu wanaJF, nimekuwa nikisikia kauli za viongozi mbalimbali wa serikali wakidai kila mtoto aliyechaguliwa kwenda sekondari lazima aende "hata kama hana nguo, viatu au ada." Nijuavyo, mbali na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hellw wanajamvi,vijana wa st augustine university(mwanza) wanaanza mitihani yao ya kumaliza 1st semester leo tar 23 jan,ve a best of lucky 2 all SAUT student!
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Mwl wa stashahada aliye tayari kuhamia Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga tuwasiliane kwa 0712155609,0786776420
0 Reactions
1 Replies
884 Views
tafadhali naomba yeyote mwenye softcopy ya MSC301,kama sijakosea,course inaitwa design and implementation of information systems,naomba atume kwenye mail hii snochet@zoho.com .natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Joseph Rutakolezibwa Mutahangarwa was born in a chiefly family in Kiziba in the Kagera region. He was the first Tanganyikan to complete the medical course at Makerere in 1940. He arrived in Dar es...
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Habari magreat thinkers! Jamani kama kuna magreat thinkers waliosoma umoja sec ningependa tujuane humu jamvini.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ninataka kuchukua kozi ya masoko inayotambulika ulimwenguni katika ngazi ya Uzamili kwa njia ya masafa. Nimepata Kituo kinachoendesha masoma haya kutoka Kenya. Kwa ujumbe huu, ninawaalika...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Leo undergraduates wote tunategemea kuanza mitihani ya kumalizia muhula wa kwanza. Wanajf nawaombeni mtukumbuke kwa maombi.Mwisho nawatakieni wenzangu wote mitihani miema japo 2nafanya kwa huzuni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
InfoBridge Group of Companies establishes the Mugerezi Spatial Technology – MUST College with the main goal of providing vocational education and training to enable young people and adults to get...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna watu wanasema kuna kata nyngne zpo wilaya ya kinondoni lakn n ngumu kufikika kirahisi, nisaidie n kata gani naweza kuwa karibu na magomeni. Nb:-kw wenye moyo wa kusaidia tu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana jf, mimi nimebahatika kupata admission ya masters in water resources management - netherland. nahitajika kupata sponspor ili kujiunga na hiyo course, nisaidieni links za sponsors...
0 Reactions
0 Replies
951 Views
nina assignment muhimu nimegoogle na discussion bado hakijaeleweka swali ni hili discuss what appears to be central theme to all religions and how it contributes in the construction of a society
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mwl shahada aliye tayar naomba tubadilishane kituo ie.Muleba District atapangiwa shule nzuri tu ya A level mazingira ni safi huduma zote za jamii zipo!..ni PM
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari njema kwa watanzania wote. Kampuni ya Young Master Supplies & General Enterprises inakuletea training DVD ambazo zitakuwezesha wewe Mtanzania kuweza kujifunza kutumia computer au program...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
kwa wale tulio pangwa serengeti mara mi mmoja wao tuwasiliane hapa. na yeyote mwenye kuijua vyema atusaidi ili tuende tukiwa na (prior information) na je ni kweli kuwa kuna maeneo wanyama hatari...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa kweli mzumbe maisha ni magumu sana {kitaalumu},maisha ya uku ni mchaka mchaka!!idadi ya test kwa wiki kwangu mimi naiona ni kubwa sana,yaani unakuwa mpaka na test 4 au 5 kwa wiki. Vyuo...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Published On: Mon, Jan 23rd, 2012 Tanzania | Published On: Mon, Jan 23rd, 2012 Education and Vocational Training minister Shukuru Kawambwa Thirty-seven Tanzanians pursuing doctoral studies...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
ONGOZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) umewarejesha masomoni wanafunzi 40 kati ya 43 waliosimamishwa na kuhojiwa kuhusu uchochezi wa vurugu na migomo chuoni hapo kwa kuwa hawana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…