Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

MDOGO WANGU ANAKUJA HOME KUTOKA UDSM, kisa amekosa mkopo. Anasoma BA.Statistics. Mi mwenyewe na babayangu ( HAKI YA MUNGU) ni wakulima. Halafu hata nauli ya kuja home hatujapata! Wee acha tu...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Naombeni kwa anayejua au aliyesoma Uganda anisaidie jinsi ya kupata shule a level,au hata kama anaweza kunikonekti na mtu anayeweza nisaidia,NAOMBENI MSAADA HUYU KIJANA AKASOME
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Baada ya siku kadhaa kuwepo kwa tetesi za mgomo hapa udsm, leo tena limeibuka upya. Hali ya vurugu za hapa na pale ikiwapo kuwatoa watu madarasani na mabwenini ilianza mida ya saa mbili asubuhi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni kuhusu haki ya wanafunzi waliofukuzwa na hatma ya fedha ya kujikimu. Chezo limeanza mida ya saa 4 hivi, FFU wametanda eneo la chuo tayari kuwapiga mabomu wanafunzi. Source: niko eneo la tukio
1 Reactions
91 Replies
7K Views
habari wana jamii natafuta soft copy za vitabu vya managerial economics strategic business accounts for manager marketing managemnt
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ingia kwenye hiyo website hapo chini,kuna nafasi kibao za kupiga shule. International Scholarships for Developing Countries | 2012-2013 Scholarships for Development
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau chagamkieni hizo vitu... The Swedish Institute Study Scholarships
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Inaelekea hali ya Wanafunzi wa Chou kikuu cha Dar Es Salaam bado ni tete kutokana na habari kuwa sasa hivi wameanza kufanya maandamano wakiwa wanatokea maeneo ya kitivo cha sheria. Haijafahamika...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunajisifu kuwa lugha yetu inakua sana duniani. Na wakati mwingine tunajisifu zaidi tunapoona mataifa makubwa kama CHINA na USA yanapo jikita zaidi kukijua KISWAHILI. Lakini kwa mtazamo wangu hawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hawai'i Pacific University offers competitive academic and activity based scholarship awards to recognize outstanding international students who have the potential to become leaders in their...
0 Reactions
0 Replies
932 Views
hallow wanajamii, nilikuwa naomba kufahamishwa zaidi juu ya maana ya corporate values
0 Reactions
1 Replies
1K Views
-Ni baada ya kuwarudisha wanachuo 43 ambao walikuwa suspended kwa kosa la kufanya maandamano ambayo hayakuwa na ruhusa. -Wengine 8 bado mazungumzo yanaendelea ili waweze kurudishwa. -Tangazo la...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
jamani poleni sana na shughuli na harakati katika maisha. mimi nimesoma pale na nisehemu ambayo sita isahau katika historia ya elimu yangu. natamani kujua kama kuna magreatthinkers wengine...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Leo ni siku ya tatu tangu roomate wangu aniweke exile. Nikiwa mi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza na yeye ni mwaka watatu,jamaa katumia uzoefu wake kunipeleka exile tangu alipokuja msichana...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Jamani hivi hii elimu yetu hapa Tanzania inaweza kundoa tatizo la hukosefu wa ajira maana kuna vijana kibao wamemaliza vyuo vikuu na wapo tu bila ajira wala shughuli yoyote.wengine wamesoma...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani naishi na kufanya kazi mtwara, nahiaji kusoma IT ktk muda wa jioni baada ya kutoka kazini, wapi wanatoa kozi hiyo kwa muda tutakaokubaliana? nimegundua sasa tupo ktk cyber world, nisaidieni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana JF, Naomba kufahamu changamoto zinazoikabiri Tradition(Manual) Information system katika sekta ya Elimu.. Especially Secondary schools pekee.. Nataka kufahamu Matatizo yanayowakabili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
-Ni baada ya wanafunzi waliokamatwa katika maandamano kuwa suspended 9 kati ya hao wamekuwa suspended miezi nane. 23 kati ya hao, ambao wana kesi mahakamani kusimamishwa mpaka kesi zao zifutwe...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Chuo cha cbe ni chuo cha biashara ila wanafundisha it,chuo cha ifm ni chuo cha usimamizi wa fedha lakini wanafundisha it na computer science,chuo iaa ni chuo cha uhasibu kinafundisha computer...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Muhimbili wamefanya maandamano ambayo yamepelekea shughuli nzima ya mahafali kusimamishwa kwa muda mpaka dakika hii. Kuna uwezekano ikashindikana kabisa kwani hali bado...
4 Reactions
54 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…