Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wanafunzi wa shule ya sekondari Ndanda,iliyoko wilaya ya Masasi, wamefukuzwa shuleni jana. Hii ni pamoja na wanafunzi wa kidato cha sita! Sababu kubwa ni baadhi ya wanafunzi wa imani ya dini ya...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Find the value of x, I need solution please not answer without soln... 2x=4x (two power x equal to four x) Solution plzzzzz is what i prefer!!!
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Jaman kama kuna mtu yyte alibahatka kusoma mtwara tech ktk kpndi hcho nadhan atanisom vema,pale viboko vsivyo na idadi ndo ilikuwa chakula,manyanyaso na uonevu ndo usiseme,nasikitika ile...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Qn: 'Most of the countries in Africa attain their Independence in Multiparty system, Discuss how they ended up developing UNDEMOCRATIC Structure of govenance?' mwenye idea ya ili swali linataka...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau, katika pita pita yangu kwenye mitandao ya kijamii nikakutana na post moja inaonyesha kuwa University of Dar es Salaam wamecopy website ya University of Cape Town. Tazama mwenyewe University...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natafuta shule au chuo binafsi chenye upungufu wa wataalamu kwenye hayo masomo.nina BED Arts ya SAUT via MWENGE.Overal GPA ni 3.7,wasiliana na mm kwenye 0764 620855.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana-JF Kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba pesa ( LOAN) zinazotowa na serikali kupitia HESLB kwa wanavyuo vya elimu ya juu ni kwa masharti ya kurudishwa baadae na wahusika(wanavyuo)...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Ongezeko la seat allowance zaid ya mara tatu ya mwanzo, inasikitisha sana. Nawaomba wanazuoni wanaopata elimu for liberation to think about this. Wabunge wanadai kuongezeka kwa gharama ya maisha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
napenda kupongeza serikali kuhakikisha kila chuo wanatoa masomo ya IT nchini bali miaka inayokuja waboreshe ajira.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ama kwa hakika umeme kama wimbo wa taifa sasa 2megoma kuimba...ikiwa kama chuo kikuu cha taifa na dunia kwa ujumla umeme umekatika unafkiri kuna kinachoendelea kweli hali imeendelea kujitokeza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Napenda kuuliza kuwa waalimu wapya wataajiriwa lini? kwa anayejua ana uhakika naomba jibu
0 Reactions
23 Replies
5K Views
kwa mtazamo wangu ninaona kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari ingeongezewa somo la ufundi (kwa vitendo). Sababu ya msingi inayofanya nifikiri juu ya hili ni; - wale wanaoshindwa kuvuka kutoka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
unafahamika kama woman tree (Nareepol Tree) unapatikana Thailand. tembelea hapa ujionee [/B]]Nareepol Tree
0 Reactions
13 Replies
2K Views
  • Closed
Shule ya sekondari ya ndanda imefungwa kwa muda usiojulikana,kufuatia mgogoro wa kidini,wanafunzi wakiislamu wanadai eneo la kujenga msikiti eneo la shule
1 Reactions
161 Replies
17K Views
Natamani kuwaona,natamani kusikia wako wapi.hivi wameonyesha kwamba wao ni 'special' kwa kuleta maendeleo nchini?au walipewa misifa isiyostahili.wale wa mzumbe,Ilboru,Tabora...
1 Reactions
104 Replies
13K Views
Wanaharakati wa UDSM wamepiga kambi nje ya jengo la utawala wakishinikiza kujua hatma ya wanafunzi 22 waliosimamishwa masomo. Kama inavyokuwa rev. square, wanazungumza kwa sauti kuambia watawala...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Link hii hapa changamkeni ITC - Three PhD positions for candidates from East Africa, preferably from Tanzania
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ndugu zangu watanzania naomba nipate ufafanuzi juu ya jambo hilo maana tunaona asilimia kubwa ya vyuo nchini wanatoa kozi hizo. Wengine wanasoma kwa vitendo zaidi lakini wengine notes sana...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
salaam wanajamii.....hivi kuna uzuri wowote ama ubaya wa kuactivate windows auto update ya pc yako?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kama mnamkumbuka ndugu yetu bwana chande bausi kwa wale waliomaliza form 4 2008, huyu mtu ameshatutoka jamani:A S embarassed:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…