Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Discuss the various faces of Development and explain the challenges that exist in defining development.
0 Reactions
17 Replies
4K Views
I have been wondering how someone changes social status/class from lower level to higher level. Do you earn/acquire from the society around you au ni wewe mwenyewe unajitangaza kuanzia leo mimi ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
KUANZIA Januari shule zote nchini zitalazimika kutoza ada mpya itakayopangwa na Serikali. Hatua hiyo inatokana na Serikali kuahidi kabla ya mwisho wa mwezi ujao, kutoa waraka wa ada mpya za...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
No classes at udsm,kunji ndo limeanzshwa hvo.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi wenzetu wapigwe , wadhalilishwe, wadaiwe dhamana ya mali isiyohamishika inayozidi millioni moja wakati wanafunzi hao ndio wanaodai mkopo alafu tukae kimya? Tuko tayari kufa kwa ajili ya haki...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
habari wanafunzi wenzangu,ni taarifa ya kuwepo kwa site kama jamiiforums ila hii imespecialized kwa wanafunzi wa vyuo tu!site hii imetengenezwa maalumu ilikuunda jamii kubwa wa wanafunzi wa vyuo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi Kwa Nini Wizara Ya Elimu Pamoja Na Umuhimu Wake Ndo Wizara Inayoongoza Kuwa Na Mawaziri Wabovu Toka Enzi Za Juma Kapuya, Joseph Mungai, Magareth Sita, Jumanne Magembe Na Sasa Shukuru...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau naomba kuuliza kama kuna madhara yoyote yale mwanafunzi aliyemaliza form 4 akaenda kusoma certificate na kujiunga na digrii
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wanafunzi 50 wa udsm.....wamefikishwa mahakamani......kwa kuhusishwa na kuandaa maandamano ya kudai mikopo kwa watoto wa mkulima.....na wengine 17 wamefukuzwa chuoni ........
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni MTANZANIA niliyefanikiwa kujiunga na chuo kikuu cha dodoma (udom) mwaka juzi kwa bahati nzuri nimefanikiwa kupata mkopo 100% ni kweli fedha imeongezeka lakini haitakuwa vizuri mimi...
3 Reactions
40 Replies
6K Views
Gazeti la Dira likuwa likifichua maovu katika sekta ya elimu.tuwaunge mkono ili tuutokomeze ufisadi katika Vyuo vya elimu ya juu na sekta nyingine ya elimu.Heko Gazeti la Dira kwa jitihada zenu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hivi vyuo vingine kwa nini hatuwi kama wenzetu wa udsm kutetea wanyonge wenzao? SUA na wengine hebu amkeni,boomless mpo wengi kushinda udsm
0 Reactions
18 Replies
2K Views
vyuo hivi serikali inapotoka havina viwango tusiharakishe kwa kupata wasomi fake,St.joseph waalim fake last yr kulikuwa na doctorate moja tena kaondoka...nyingine ni principal hao wengine wahind...
0 Reactions
160 Replies
20K Views
Economic growth is all that matters to reduce poverty in t(T)anzania, do u (do you) agree? Nipe factor ma great thnker (Thinkers) Kuwa msomi makini kwa kutumia sarufi kwa ufasihi zaidi, Ukiandika...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
jamani naomba kujuzwa! Je ni kweli na sahihi kwa UDOM Kutoza sh. Laki na nusu kwa kukodi joho? Natanguliza shukurani
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Nilikua natembelea website ya chuo cha ukweli nikastuka kidogo nilipokutana na hiyo link ya .pdf ambayo lugha yake sikuielewa kidogo,wadau nisaidieni.....hapa mtu akinyimwa kazi akapewa alie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sidhani hawa viongozi wetu wana watoto kwenye hivi vyuo, Yani wapo tayari kununua maelfu ya mabomu kuliko kuwapatia mahitaji hawa wanafunzi wa vyuo. Labda viongozi wetu hawana watoto, sababu...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Hivi ni haki mwanafunzi hana baba wala mama, mwenye division 1.8 na aliyesoma shule za kata o-level na advanc asipate mkopo? wakat huo huo watoto wa mawaziri na wabunge wapewe zaidi ya 80%.. bila...
0 Reactions
1 Replies
989 Views
Ni hilo tu wana jf
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Baadae asubuhi tunasubiri tu, haki ya wenzetu walionyimwa mkopo itapatikana tu hata kama ni kwa njia isiyo sahihi.
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…