Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kuna vyuo mbalimbali vilivyokumbwa na kashfa mbalimbali nchini, suala hili lisipochuliwa hatua litaidhalilisha elimu ya Tanzania. Mfano Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama ilishakubwa na kashfa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Demokrasi ni jambo la muhumu.katika nchi changa kama Tanzania, mabadiliko ya kisiasa yanayoendelea ni suala lisilo kwepeka. Nchi kubwa kama marekani na zile zilizoendelea kama za ulaya hazikuibuka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Idadi ya Wanafunzi katika vyuo vikuu imeongezeka kutoka 45,501 mwaka 2006/2007 hadi 139, 638 mwaka 2010/2011 sawa na ongezeko la asilimia 206 katika kipindi cha miaka mitano. TUMEWEZA...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Taasisi moja yaendesha mifumo mitatu tofauti ya mafunzo ya ufundi, kuna trade test, CBET, na CBA. sasa ni muda wa zaidi ya miaka 10 mitaala ni ya majaribio kila kukicha, je nchi hii tunakwenda wapi?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Here is the brain teaser to warm up our minds as we are preparing for the week. You have an empty pool and you start filling it up. The volume of water doubles everyday. It will take you 100...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wakuu pale Ardhi wanatoa Bachelor of Arts in Economics nasikia hii nitofati na ya UDSM japo majina yanafanana.so pliz anaejua tofauti anijuze.!!!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za jioni wadau? Nina rafiki yangu yupo chuo ila amekosa mkopo na nyumbani kwao wamemsusa sababu alipata ujauzito akiwa shuleni amekuwa wa mawazo hata kula yake ni ya tabu anafikiria kuacha...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nipo katika hatua za mwisho za kuandika kitabu cha mambo yahusuyo scholarships. Jina la kitabu ni SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES IN AMERICA AND EUROPE: The Secret From Makulilo Mtunzi: Ernest...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani wana JF naomba kama kuna mtu anaweza kunipatia syllabus ya ordinary level kwa masomo ya Hisabati, Chemia, physics pamoja na Biology kwa shule za Sekondary kwa hapa Tanzania.Nitashukuru sana...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Scientists confirm early humans were from Africa but their route out was via Arabia not Egypt Our ancestors headed into India via Yemen before wandering further east and north Researchers used...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ndugu wazazi polenin na jukumu la kusomesha naomba mfuatilie kwa karibu sana hosteli wanazokaa watoto hususani wa kike na mtakayoyaona mnijuze, hosteli ammbazo wamiliki wake wameajiri watu wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakubwa mi ninasikitishwa sana na hali ya taaluma inapoelekea tanzania. kwani elimu ya sasa sio, yaani watu wanapewa vyeti tu na sio taaluma na ndio maana wengi tunamaliza vyuo vikuu tunasambaa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimeona cartoon ya Gado ( Godfrey Mwapembwa) kwenye gazeti la East Africa la wiki hii, nimejaribu kutundika sina ufahamu huo. Cartoon hiyo ni zaidi ya kejeli na fedheha kwa watanzania
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mogadishu
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau, hali ya wanachuo Tumaini Smmuco ni mbaya sana kutokana na wengi wao kutopata mikopo yao hadi sasa. Plz, can somebody tell me what's wrong with Loarns Board?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naibu waziri wa Elimu bwana Mulugo amewadanganya wakufunzi wa chuo cha Ualimu Songea kuwa madai yao yote yanayohusu upandishwaji wa madaraja/vyeo, malipo ya malimbikizo ya mshahara, likizo, na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Eti mtu agraduate let say wit bcom afu arudi tena kufanya Llb kwenye chuo kile kile?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
In the whole process of designing and development. Ninaomba mchanganuo wenu wana JF. Ahsante
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nisaidieni jamani nipate hata kianzio cha kufanyia registration huko chuoni,nina hali mbaya sana mwenzenu.napatikana kwenye joel9060@yahoo.com
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Raymond Kaminyoge Mwananchi KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imegoma kupitisha hesabu za Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), kutokana na ubadhirifu wa...
0 Reactions
91 Replies
9K Views
Back
Top Bottom