Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ni maandamano ya amani kupinga kitendo cha serikali kuwanyima mkopo wanafunzi na pia matatizo mengi ambayo yameikumba elimu ya juu Tanzania. Ni leo asubuhi yataanzia mabibo hostel na campus halafu...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Ule mchakato wa kugoma kwa wana-udsm umetimia nanukuu site moja hivi inasema "BREAKING NEWS.Chuo kikuu cha Dar Es Salaam wagoma kuingia madarasani,FFU waenda kutuliza ghasia!" nukuu hii ni ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sababu kubwa ya mgomo ni kupinga system mpya ya wanafunzi wanao endelea na masomo kujisajili kwanza then ndo wapewe bum.source,mimi mwenyewe,nlikua rev square.
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu. Kuna vyuo(vya afya) vina utaratibu wa kuanza kutoa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wake katika speciality husika mfano GINECOLOGY,NEUROSURGERY n.k wakati...
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Serikali inatarajia kuajiri walimu wapya 23,027wa ngazi ya Cheti, stashahada na shahada katika Halmashauri mbalimbali hapa nchini. Walimu hao wa shule za msingi , yaani ngazi ya cheti ni 10,595...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nimetumiwa form ya Mtech, hembu soma hiki kipengele then: References For master applicants: Give the name of two academic or professional referees. State their function and give complete...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Dear All, Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED) in collaboration with Association of Business Executives (ABE) UK, invites applicants for Certificate and Diploma in...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ninafanya utafiti fulani.tawi la ccm udom liko wp? Au km unamawasiliano plz,maana wanafunzi ninaowauliza hawajui,nipatie namba zao au wanapatikana wp1
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Reading is considered one of the best habits that one can inculcate in him. Being the best hobby one can have, it has nothing to lose but one can gain tons of knowledge from it. It is best when...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakubwa,kama kuna mwenye mhadhara(notsi) za tamthilya na ushairi wa kiswahili kwa watu wa bachela azitupe
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naomba mnielimishe kuhusu huu mfumo ambao tumeuanza yaani kutoka analogia kwenda digitali.Sijaelewa TV zetu za hapa ndani itakuwaje,maana inavyoelekea kila kituo cha tv kitakuwa na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mitihani ya darasa la 7,form4,form6,inayotolewa na necta,unadhani ni kipimo cha mwanafunzi bora,yani elimu ya cheti.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, mimi ni mpenzi mkubwa wa kujisomea hasa majarida, vitabu na magazeti mbalimbali. Na vyote hivyi inakuwa si rahisi kuvipata kwa unafuu na ndipo linapokuja swala la kwenda maktaba ambapo...
0 Reactions
0 Replies
42K Views
Tuchangie Elimu sasa. Kuna sababu gani ya kuchangia mamilioni ya hela kwa harusi inayofanyika kwa masaa manne tu!!. Na ndoa zingine hazimalizi hata mwaka zimeshavunjika!!. Tubadilike jamani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niongelee hasa upande wa CoET pale UDSM; Hivi karibuni serikali imekuwa ikiajili sana vijana wanaomaliza chuo kama maTA. Wengine wameunganisha moja kwa moja kwenda kusoma masters n.k. Lakini...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Elimu yangu ni ya kuunga kwa gundi:darasa la saba nilisoma huku nauza mandaazi ya mama J akinilipa ujira wa sh.250 (mwaka 1987) huku nikiwatunza wadogo zangu baada ya wazazi wetu kufariki. (kama...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba kueleweshwa wadau,nilikua naangalia prospectus ya mzumbe,naona hawa jamaa wao hadi mtu anagraduate anakua amesoma course 25 tu,wkt chuo kama sua mtu anaesoma agro-economics hadi anagraduate...
0 Reactions
43 Replies
11K Views
I like the two songs.. Public varsity dons down their tools - YouTube
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina mdogo wangu wa miaka 9 kwa sasa anasoma st magreth kimara bweni, tatizo haipendi hiyo shule na anataka tumhamishe, so nilikuwa naomba kujua shule nyingine nzuri ambayo ni ya bweni na ina...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom