Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wakuu; Wakati akihutubia BUNGE siku ya tarehe 30/12/2005 Mjini Dodoma, Rais Kikwete, kati ya moja ya ahadi alizotoa, aliahidi Kujenga Shule za Bweni za Sekondari za Kitaifa nchini. Nitashukuru...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Aiseeeeeh! ifikie sehemu waajiliwa wa vyuo vikuu hasa ktk LOAN OFFICES muwe punctual na kazi. Hivi kuna ugumu gani kufanya analysis ya huyu shilingi ngapi! Huyu ngapi! Then una-release majina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wa Tanzania nimasikitiko makubwa Sana serekali ina fanya mzaha kwenye sekta ya elimu juzi tumeona naibu waziri wa elimu akizifungia baadhi ya shule kwakukosa sifa ya kuziendesha kwa mfano...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Awali ya yote nipende kuwapongeza kampuni ya tiGO kwa kuwa kampuni mama ya Tanzania!! Tatizo kubwa linaloniumiza mimi kama mteja wenu ni pale mnapotudanganya kupitia matangazo yenu ya biashara...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?
0 Reactions
63 Replies
10K Views
napenda kujua ajira za walimu wapya mwaka huu ni lini? maana walihaidiwa kupata ajira mara tu wanapomaliza mafunzo sasa ni takribani zaidi ya miezi 5.
0 Reactions
6 Replies
15K Views
jamani nina kaka angu mwaka wa 4 Sasa anatafuta hilo dubwana but still halipata.Swali hivi pale NBAA pana urasimu au vipi? Coz broo anakomb sana ila wapi!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau chekini hizo.... Ni vema kutenda sasa....! bila kuchoka! kujaribu tu, haitoshi! Funds for NGOs: Grants and Resources for Sustainability
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba msaada kama kuna anayefahamu zaidi kuhusu chuo hiki [SJUT ] yaani elimu inayotolewa kwa kifupi nikifananishe na chuo gani kwa ubora au kwa ubaya
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Jamani nimesikia shule ya Kikongo iliopo maeneo ya Mwenge Dar es salaam imefungwa na wizara ya elimu. Kama kuna mtu anajua sababu za kufungwa naomba kujuzwa maana kuna ndugu yangu alitaka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SCHOLARSHIPS OPPORTUNITY FOR TANZANIANS The International University for Humanity and Social Sciences (IUHS) Costa Rica (Central America) is pleased to announce the offering scholarships for...
2 Reactions
55 Replies
8K Views
Sasa unaweza kupokea taarifa za scholarships kwenye email yako. Ingia Scholarships for Tanzanians, angalia upande wa kushoto juu utaona "Scholarship alert via email". Ingiza jina lako na email...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Juzi wakati nipo hapa jamvini kuna Thread moja ya Bujiji iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho Ni Kitabu gani ulichokisoma hivi karibun.. Ilinivutia sana kuipitia kwani ukitaka kumficha kitu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
More than 450 colleges have been banned from bringing foreign students to the UK...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifanya utafiti katika vyuo vyetu hapa nchini lakini kwa hili mnalolifanya nia dhambi kubwa kwetu sisi wazazi,kutokana na serikali kuanzisha bodi ya mikopo sio wote wanapata,sisi wazazi...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wanafunzi wa UDOM-college of education, wapo mbioni kugoma ili kushinikiza utawala ukamilishe matakwa yao hususani ya fedha za kujikimu. Mwaka huu wa masomo wa 2011/2012 umekuwa tofauti kidogo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
WanaJF kuna mdogo wangu amemaliza form four sasa kipindi hiki anasubiri matokeo niliona ni bora akapige short course pale UCC ila sijajua ni course gani nzuri amabayo itamsaidia maishani kwake...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
5o years of independence still local residences of tanzania are still living under abject poverty there is no assuarence of permanent water and people are moving here and there around the...
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Mfuko wa afya wa bima Nhif unawatangazia wale wote walioomba kazi Kama ifuatavyo ; >wale wenye shahada ya kwanza tar 7/nov 2011 >diploma ya juu na kawaida tar 8 Nov waombaji wenye vyet vya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Taarifa zilizo rasmi toka Heslb,kufikia Alhamisi wiki hii,watakuwa wamesha wapatia wanafunzi wote wa Kanda yetu pesa zao za mkopo,Wasipo fanya hivyo,Tujiandae kwa mgomo mkubwa utakao ifikishia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…