Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

ilipofika saa tatu wametengwa kulingana na ulicho apply.wakaingia ndani.wakagawa paper la mtihani.mda masaa mawili. maswali kwa watu wa HR yalikuwa mchanganyiko; mathematics!economics,english na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ukosefu wa mkopo tayar umesha determine who is real friend, and who is not! Mi nimeshaona! Ama kwel pata pesa tujue tabia yako! Yaan jamaa walokuwa wakaribu hata ukimpigia hapokei anahib...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
..does any one have a clue of the existance of a masters scholarship in wildlife mgt?!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kujua mahala ambapo hivi vyuo vilipo hapa dar, nikiwa naanzi safari kutokea ubungo!??? Institute of social work na institute of tax administration
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani nina shida moja nataka kujua challange tano katika maisha
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nina mdogo wangu alimaliza form 6 mwaka jana katika moja ya shule zinazomilikiwa na serikali hapa nchini,lakini cha kushangaza akapewa mkopo 0%,kutokana na uwezo wa familia yetu kuwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanajamvi nisaidieni,hivi wanafunzi wanaosoma science pale chuo cha wanyamapori-Mweka wanapewa mkopo asilimia ngapi na Tsh.ngapiI?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwanza niwape pole wale wote wenye vigezo na wamekosa mkopo.Usumbufu wa heslb kwa wanafunzi ni mkubwa na wamebadilisha dhana ya "LOAN" inakuwa "SCHOLARSHIP" kwa makusudi au kwa kutojua.Nirudi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau Ninafanya diploma NCC, sikusoma V.B, na ninatakiwa niifanyie mtihani karibuni. Kama kuna yeyote anayeweza kunifundisha, naomba awache contact yake hapa au ani pm , niko Dar.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kama kuna yeyote aliyekuja Dodoma kutahiniwa tuwasiliane, Taratibu mji wenyewe ugenini huku. Please ni PM!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna habari kuwa tarehe 25-10-2011 kutafunguliwa rasmi tawi la St.Augustin University mkoani kagera.Kama kuna mwenye kujua naomba atujuze.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF, Jamani, nina mdogo wangu wa kike, nataka arisiti mtihani wa form four mwakani. Naomba mnisaidie shule nzuri ya wanawake ya bweni ambayo ada yake haizidi Milioni moja...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kufahamu ubora wa elimu inayotolewa katika hizi nchi za Japan na S.Korea ukoje?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanachuo mkijaribu kuangalia website ya bodi ya mikopo ,wametoa vijisababu vingine za watu kukosa mkopo, ili kupata huo mkopo wanatakiwa kurekebisha hayo makosa na ukifuatilia wengi wao ni watu wa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
I'm an avid reader of novels.Although I read a wide varieties of novels am more interested in:Legal thrillers(love John Grisham's stories) ,crime series,romance-the likes of Nora Roberts and...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Dogo kamaliza form 4, nauliza high school gani bomba hapa dar?.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta sana watu wanaosoma au waliosoma masters of Education hasa MED APPS (Masters of Ed in Administration Planning and Policy Studies) kwa lengo la kubadilishana uzoefu, kufanya discussions na...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
ni kweli kua kama una bima ya afya unarudishiwa 50,000? Na kama ni kweli madai haya yanapelekwa wapi?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
These are some amazing facts, and some are even shocking. Read and enjoy! THINGS EVERYONE SHOULD KNOW: The word "queue" is the only word in the English language that is still pronounced...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuorodhesha vyuo vikuu kulingana na umaarufu ni desturi inayokua kwa kasi sana katika sekta ya elimu ya juu. Orodha hiyo, inayojumuisha vyuo vikuu vilivyo maarufu zaidi duniani, ina walakini...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Back
Top Bottom