Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

wana jf wanapa pole wote ambao hawajapata mkopo,ikiwa mi mwenyew pia ni muanga wa janga hili,lakini nawasihi kwamba wafanye dili zingine mtaani wakivuta subira ya kujaribu tena mwakani,labda bodi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunapoikaribia siku ambayo JK atatunukiwa Honorary Degree naambatanisha taratibu zinazofuatwa na UDSM kabla ya kuchagua jina la mtu atakayepatiwa degree hiyo ya upendeleo. Lengo hasa ni kuona ni...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau! je, benki hiyo itasaidia walimu kutatua matatizo yao?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Full funded Masters scholarship to study at the university of Oxford, UK. Visit Clarendon Fund Scholarship ~ Scholarships for Tanzanians
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kama kuna shimo la kufukia vipaji, na uwezo wa kufikiri kwa wanafunzi wetu ni TUITION. Sijui wazo hili lilitoka kwa nani. Tution ilizaliwa miaka ya 1990s na mbaya zaidi baada ya mwaka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani kama kuna shimo la kufukia vipaji, na uwezo wa kufikiri kwa wanafunzi wetu ni TUITION. Sijui wazo hili lilitoka kwa nani. Tution ilizaliwa miaka ya 1990s na mbaya zaidi baada ya mwaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kutakuwa na faida au hasara gani endapo wanafunzi hasa wa shule za msingi na sekondari kuondolewa kuvaa sare kwenye shule za umma?
0 Reactions
12 Replies
10K Views
wadau hivi kuna yeyote ambaye amepata mkopo?manake mimi sijapata
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo nilikuwa class tukiwa watu 3 na Prof. wetu..Prof akaanza kufundisha jamaa zangu wawili wakaanza kupiga story kwa hiyo Prof akaendelea kufufundisha bila kujari wale jamaa zangu wawili waliokuwa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Miaka yote udom wanapata boom wakiwa wa mwisho ukilinganisha na vyuo vingine? some time wanapata ata baada ya miezi 2 kupita wanapofungua chuo? pesa ya field hivyo hivyo kwanini?
0 Reactions
32 Replies
4K Views
naomba mwenye majina ya wanafunzi waliopata mkopo mwaka jana 2010/2011( MNMA) chuo cha Kumbukumbu ya Mwalim Nyerere. Tafadhali nina shida nayo. Nimejaribu kugoogle,kusearch humu kwenye forum na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
heslb wametoa tangazo kuwa second round applicant na wengine wote watakao chaguliwa na TCU mkopo hamna....eti wanasema wakati tuna apply second round TCU walitueleza kabisa kuwa mkopo...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Greetings to all, Ninashida na kitabu hiki FINANCIAL STATEMENTS ANALYSIS AND SECURITY VALUATION S.PENMAN 2007 3RD EDITION, mwenye pdf file nitashukuru sana.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau kuna mtu yuko kijijini na amechaguliwa kujiunga cbe-dodoma,naomba mwenye joining ya cbe anitumie hapa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Makamu wa rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mohamed Gharib Bilal bado anatambulika kama mwenyekiti wa baraza la chuo kikuu cha dodoma (udom council chair). Licha ya Rais Kikwete kumteua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Dear collegue, if you are looking for scholarship, you try this: Applicaton Forms « WILLIAMS COLLEGE
0 Reactions
0 Replies
959 Views
nilihitimu kidato cha 4 2008 nataka kurudi shule natafuta mfadhli niweze kuendelea na masomo nitafanyeje nipate mfadhili
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wapendwa wana JF, mdogo wangu alikuwa katika category ya "NO LOAN CONTRACT SIGNED" swali; inamaana kuna ki/vipengele hakusaini alipokuwa anapeleka? na je kama ndo hivyo, anahitajika kupeleka upya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nasikia kuna programe nzuri iliyoanzishwa na wizara ya elimu tz ya kubadilisha mtizamo wa ufundishaji wanafunzi badala ya mwl kuwa ndiyo kila kitu wakati somo linaendelea na sasa kitovu cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom