Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari ma great thinker!Mimi ni mwalimu wa sekondari ya misalai iliyopo Amani katika halmashauri ya muheza hivyo nilikuwa naomba kubadilishana na mwalimu yeyote aliyopo katika halmashauri hizi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau,ule mkwara alio uchimba huyo jamaa hapo juu eti kwa continue students lazma 2lipe sehemu ya cost 2nazodaiwa ndo 2pewe bumu le2 umegonga mwamba na hatimae bumu limewekwa tangu majuzi maana...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Ningependa kujua wanaopata nafasi katika Bsc hapo CoET au CoICT huwa wanakuwa idadi gani?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Aise naomba mwenye details ajira za walimu zitakuwa lini? nashindwa kusaini mkataba wa tempo naomba mnijuze
0 Reactions
0 Replies
827 Views
heshima kwa wakuu wote mliomo humu jamvini. mi ni kijana wa kitanzania nimesoma diploma ya customs and tax management kilichpo chini ya TRA na nigependa kujiendeleza na masomo ila kwa njia ya...
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Namkumbuka mwalim wangu wa darasa la kwanza Mwl. Deodatus Mganga, dah alikuwa mlevi yule!!, alikuwa anatupiga yule!!, alikuwa akija asubuh darasan amelewa (gongo) anatuuliza "Vijana mmekojaoa"...
0 Reactions
1 Replies
926 Views
Wilaya ya GEITA pamoja na kuwa na rasilimali za madini katika ardhi yao, bado maisha na unyanyasaji kwa wananchi na watumishi wa umma uko juu sana kuliko wilaya nyingine za mkoa wa Mwanza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
naomba niulize hiyo risiti ya malipo wanayodai ni ya direct cost au ada kwa mwaka wa kwanza.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
<WENYE SHULE/VYUO> na WASAMBAZAJI WA VIFAA VYA SHULE HII NI KWA WAMILIKI WA SHULE,VYUO NA VITUO VYA MAFUNZO. SASA UNAWEZA KUIFANYA SHULE YAKO KUWA MAALUFU NA BORA NDANI NA NNJE YA TANZANIA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hadi sasa ninashindwa kuelewa kwamba hawa ja maa TCU wameshindwa kuimudu CAS central adimission system au vipi. Nina mjomba wangu ambae amemaliza kidato cha sita na akafaulu kwa kupata daraja la...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataraji migomo mingi vyuoni kwa mfumo huu ata kama posho imeongezwa.Ebu pima hii,mtoto wa mlala hoi ameomba chuo na kapata ili kusomea ualimu akispecialize kwenye english ananyimwa mkopo kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya private schools zinamanyanyaso sana kwa wafanyakazi wake,yani mkuu anaiendesha taasisi kama anavyotaka.Wengine wanaassume wafanyakazi hawajui haki zao za msingi wanapokua...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa yeyote mwenye kuitaji vitabu vifuatavyo tuwasiliane. Kuna vitabu vya: C, C# C++, Java, Javascript, CSS XHTML CompTIA Computer Science Upgrading and Fixing Computers CNET Joomla Multimedia...
0 Reactions
64 Replies
9K Views
Wapendwa nishaurini, Huyu nijamaa yangu amemaliza mtihani wa form four na anauhakika wa kufanya vizuri ila kwasababu ya majukumu anataka kupumzika kwanza yaani anataka kwenda chuo chochote ili...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kijana mmoja anayesoma form 6 mbeya(jina la shule halijapatikana) amekamatwa jana akimfanyia mdogo wake mtihani wa form 4 hapa mwembetogwa sec-iringa. Inasemakana alishafanya Geography,kiswahili...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Jamani naombeni msaada kwa anaefahamu vyuo vikuu vizuri vya UK. Najua kuna vyuo vingi ila mi naomba kufahamishwa vile ambavyo ni vizuri.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimeamua kuileta hapa maana haifai kule kwenye entertainment!Hii thread maalamu kwa wenye elimu ya muziki (classical music) kubadilishana mawazo na vitu kama music sheets nk. Mimi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
mara nyingi nimekuwa nikijiuliza kwa nini baraza la mitihani la Taifa linaonesha majina ya watahiniwa wakati wa kutoa matokeo. mimi kwa mtazamo wangu naona matokeo ya mtahiniwa ni siri kati yake...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Rejea kichwa cha hbr hapo juu...km umepangiwa na tcu cbe dar na una loan ila binafsi unaitaji kwnd cbe dom inawezekana kwl wana jf?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
mwenye kua na clue nzuri abt hii masterz ya rural development,i mean fees,mode of deliverance and it market. .najaribu kufungua website yao hawajaelekeza kuhusu fees. .kuna ndugu nataka natak...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom