Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani form four wamefanya karibu asilimia 80 ya mitihani yao sasa naomba mnisaidie anayefahamu maswali ya Bible knoweldge anifahamishe coz kuna mdogo wangu anafanya tarehe 17 october sasa anataka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
<font size="3"><strong>tumemaliza chuo na sasa tupo mtaani lakini tunalia na ajira kila kukicha utatuona na baasha mkononi lakini wapi! mliopo chuoni na mnotalajia kujiunga na vyuo angaline course...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
wana JF mlochaguliwa UDSM naomben mnijuze kinachoendelea huko, hasa kuhusu waliokosa mkopo.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa contacts za chuo cha ustawi wa jamii hasa namaba za simu au website. Nipo mbali nataka kuwasiliana nao tafadhali, nimejaribu google bila mafanikio.
0 Reactions
7 Replies
11K Views
Kuna dogo mmoja mtoto wa jirani yangu anataka kuepukana na kumsomesha mwanae shule za Kayumba anataka kumpelka Olyimpio au Diamond akasome kwa kimomo.Lakini ameniambia amekumbana na longo longo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sisi ni wanafunzi wa equivalent je kilio chetu sisi tufanyeje kwani mpaka sasa hata hujui kinachoendelea na mlisema watu wasayansi watapewa mkopo asilimia mia moja je, sisi ambao tuna- equivalent...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wanandugu...mimi ni mdahiliwa wa chuo kikuu cha dar es salaam kwa mwaka mpya huu wa masomo..nimepangwa hostels za mabibo... Kwakuwa me si mwenyeji sana wa mji huu ninapendelea zaidi...
0 Reactions
37 Replies
7K Views
Jamani I'm planning one day kama Mungu atanisaidia nikasomee hiyo master vp kitaa inalipa katika upande wa ajira ndugu zanguni wana jf.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
150 Developing Countries Scholarships &#8211; 2012 Cud Scholarship Program, Belgium 2012-2013 Developing Countries Scholarships &#8211; Cud Scholarship Program, Belgium - Within the programme for...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Makamu Mkuu wa chuo Kikuu Muhimbili amefuta chama cha wanafunzi (MUHASSO), students' Organization kwa kutumia hoja zisizo na mashiko, akidai ni maamuzi ya kikao cha Baraza la chuo cha tarehe 3...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Wakuu, Mimi na watu wengine watatu mwaka jana tulianza juhudi za kuanzisha taasisi itakayoitwa Tanzania Friends of Mathematics/Marafiki wa Hisabati Tanzania. Kwa wale ambao watapenda kuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kadri karne zinavyozidi kusogea kumekuwa na mporomoko mkubwa sana wa elimu ya Tanzania. Kuna shule za kata nyingi ambazo zimejengwa hazina walimu wenye sifa za kutosha pia hata mazingira yake...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SALAMU. NAOMBA MSAADA WENU ILI NIPATE MATOKEO YA FORM SIX YA MWAKA JANA 2010 (MTIHANI ULIFANYIKA 27 SEPTEMBA) Tafadhalini naomba kufahamishwa ili nipate kujua kijana wangu akisoma huko shule za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hivi naomba mnisaidie link yeyote ambayo naweza pata scholarship za masters (business, au ICT relating to business) maana napenda sana kusoma masters but financial am unstable so anyone...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
changamkieni hivi vyuo,BERGEN,TROMSO,KRISTIANSAND,OSLO na NTNU, kwa chuo cha oslo zipo programu nyingi za uzamili, fuata hii linki www.uio.no afu chagua lugha,angalia kushoto utaona wameandika...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Unatafuta shule, au unatamani shule yako ijulikane kitaifa na kimataifa.Tembelea Schoolbook Classic | Homepage kwa maelezo zaidi. salama, bure, na rahisi kutumia. Wengi wanatumia wewe je? Tangaza...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Yeyote mwenye kuhtaji hyo huduma anijulishe,nimpe maujanja.
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Leo ni siku ya Walimu duniani;ninaomba niseme kama ifuatavyo:katika kila wanafunzi 10 wa darasa la tatu(3) hawawezi yafuatayo:- 07 katika yao hawawezi kusoma hadithi ya Kiswahili ya darasa la...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wale waliokua wanadai mkopo na kukutana wizara ya elimu, kesho wanakutana kwa wazr wa elimu saa 1 asubuh, kiongoz ameniambia ni2me kwa wa2 10, nadhani kwa njia hii ujumbe umefka kwa wa2 zaid ya...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Yeyote anaeenda kuanza kusoma sekuco jitokeze na la muhmu sn kukwambia.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom