Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wazili wa elimu ametanza kuuludisha tena mtihani wa kidato cha pili kama kipimo cha wanafunzi.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nilijaribu kumtweet mhe Jk Katika account ya TWITTER km mara tatu juu ya tatizo hili la MIKOPO hatimae kanijibu leo sasa hv anasema "Bod ya mikopo inalìfanyia kaz swala hil na anaamin ufumbuz...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
tukiwa tuna timiza miaka 50 ya chuo kikuu cha dar es salaam tunatakiwa tuangalie tuliko toka , tulipo na changamoto zipi zinatukabili huko tuendako. changamoto moja niionayo mimi ni hii ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salam wadau, Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafakari kuhusu zogo la wanafunzi wengi waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya elimu ya juu hapa nchini mwaka huu walivyokosa mikopo kutoka bodi ya mikopo ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
hello people,im a student pharmacist..nasoma bachelor hapa nchini...im finding fellow friends in this field or any person with knowledge/interest in this field and even the whole medical field in...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi jamani watanzania utaratibu huu wa mpya wa bodi unakidhi haja ya wanavyuo?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Natakia mafanikio katika mitihani yenu mnyoanza hapo kesho mungu awasaidie mweze kukumbuka yale yote mliyosoma na mweze kuyajibia mitihani yenu.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna jamaa mmoja anafanya kazi na wakorea: Anasema kuna Mtanzania ambae amekuwa akifanya kazi kitaalamu sana (Electronics) kiasi cha kuwashangaza wakorea hao, lakini ni std 7. Kwa mujibu wa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
2liochaguliwa udsm bila mkopo, napenda kufaham wenzangu mna mikakat gan? au 2naenda kuripot kibabe, je hawatatunyanyapaa? hebu 2wekane sawa wana JF wenzangu.
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Ninamiaka 37 ninawatoto2,nilikvwa nasoma pale technobrain,diploma in ict, niliacha nikibakiza miezi 6 nimalize..maisha ni magumu sana kwa sasa,je niendelee au najilisha upepo?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimeudhulia maafali ktk shule moja hapa Dar, kilichonisiktisha ni: -wahitimu wengi walikuwa wamevaa Kata K -Wahitimu walivaa suti badala ya sare zao -Maonesho yao wengi walicheza kiduku na michezo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jaman mimi ni mwalimu wa shule ya sekondari ,nashangazwa na huu utaratibu wa wanafunzi wa kidato cha nne kufanya mitihani ya vitendo[practical] wakati shule huska hazina maabara .kinachofanyika ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naomba kuuliza, hivi bodi ya mkopo ilipewa wiki 2 kuhakiki waliokosa mikopo kwa lengo gani? mbona sijaona matokeo yoyote baada ya uhakiki wao?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Samahani wakuu naomba kuuliza kama ratiba ya probation exams imetoka maana kwenye website hakuna chochote na nimesikia tetesi kuwa mitihani ni tar 17 sio 10 kama almanac inavyosema please tujulishane
0 Reactions
43 Replies
5K Views
mi naona kama bajet kweli haitosh, Serikal izame kitengo cha maafa wacsubir mpaka mel izame au mabom yalipuke, hata watu elfu 14 kukosa mikopo mi naona ni maafa pia kwan haijawah kutokea.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Oya,mbona hamtuapdate nini kinaendelea huko,au ndo mmeridhka na hyo styl mpya ya maboko??
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nipe Jibu- "Uhai wangu hulingana na umbo langu, na huo uhai wangu hutegemea uhai wa mtu mengine, mimi nani?" <waweza kutumia "Kamusi ya Vitendawili na Mafumbo">
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Tanzania Commission for Universities (TCU) in collaboration with the National Council for Technical Education (NACTE) and higher education institutions hereby informs prospective applicants for...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Ni miaka 50 ya uhuru,nimetafakari nikaona elimu tunayoipata hapa Tanzania haikidhi haja za watanzania. Kwa vipi? Serikali imejitahidi kujenga shule kibao za kata ikishirikiana na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda kuiuliza wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kuwa ni lini watawaajiri walimu wapya 2011? maana tunasema kila siku kuwa shule zetu zina upungufu wa walimu wakati walimu wamejazana mitaani...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom