Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hi..jf pple..samahani naombeni msaada wenu...hivi ni course gani nzr kwa mm nnaetaka kusoma certfct?pia mm kama mm napenda kusomea mambo ya IT..bt cjafahamu vzr ni chuo kp kzr..tanx
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba kufahamishwa kuhusu usajili wa vyuo unaofanywa na NACTE,nilisoma kwenye TOVUTI yao orodha ya vyuo vilivyosajiliwa nikaona kuna preparatory,provissional na fully registration.mnaoelewa mimi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
elimu ya tanzania sasa yawa ya kitapeli!waliwatapeli watoto wa kibaha sasa watoto wa vijibweni kigamboni!wanafunzi wamepewa mitihani maths na civics ambayo ilishafanywa arusha huku ikiwa na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi there, is the USA IFRS compliant? Naomba kujuzwa. thanks
0 Reactions
0 Replies
788 Views
habari za kusikitisha zimetokea leo asubuhi mjini mtwara ambapo mwanafunzi wa kike amefariki dunia, mauti yamemkuta gesti akiwa na mwanaume. Mwanaume huyo alikuwa amemchukua mwanafunzi huyo na...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Habari wanajamvi. Tafadhali kwa mwenye taarifa za kozi zinazotolewa na chuo cha ustawi wa jamii kinachosimamiwa na wizara ya afya. Imetokea nikisikia sikia lakini sijafanya chochote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini zenu wana jamii, mimi ni mwnafunzi wa chuo flani hapa tz, sasahivi naelekea kufanya field, natakiwa kuandaa proposal kabla cjaanza kuandika resarch riport yangu, tatizo limekuja kila...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana jf,mwenye information kuhusu matokeo yatatoka lini? PLEASE OVER PLEASE !
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tangu nianze kufuatlia selection za madogo kwenye web ya tcu,leo ni mara ya tano nakuta web yao haiko hewani bila sababu za msingi...kwa anaejua a2fahamishe,ni nin mbaya huko!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Vijana ninaowazungumzia ni wale ambao TCU imewatangaza kuwa hawana sifa za kuchaguliwa kujiunga vyuo vikuu kwa vile hawa sifa kwa vile hawana credit tatu za O-level. Vijana hawa wengi wao ni wale...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jay Smith is your One Stop Shop For All Your Wireless needs. Jay's provides you with latest and comprehensive information on cellular phones and accessories in USA & UK. We are proud of the...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa aliye download PDF ya selected applicants IFM anisaidie kujua kama kuna la LEONARD SAMWEL in information technology. Niko kijijini jamani sina access ya mtandao kabisa ila kuna jamaa leo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
News List of applicants for Second Round of applications Introduction The second round of applications for applicants who were not selected under the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mda mfupi uliopita, nimepokea simu kutoka kwa wadau kwamba TCU wametoa majibu, lakini kinachoniumiza mpaka sasa nafungua website ya TCU ipo busy, je ni kweli jamani tetesi hizi?
1 Reactions
19 Replies
3K Views
http://www.tcu.go.tz/uploads/file/List_of_Applicants_Qualified_but_not_Selected.pdf News List of applicants for Second Round of applications...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Inakuwaje kwenye ofisi za serikali academic transcripts hazikubaliki katika mpaka upate cheti original cha chuo wakati huohuo vyuo vyao vyeti huchelewa mno inaweza fika hadi miaka miwili na zaidi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau kuna ndugu yangu anataka aunge kwa kufanya masters ya Ms.Finance inayotolewa na IFM. Naombeni mwenye kufahamu anijuze ubora wake, maana kuna vyuo pia vinatoa masters lakini hazina heshima na...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wana jf tcu wana habari hiyo kwenye website yao! Kama inakuhusu waweza peruzi... Nawasilisha!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kutokana na utafiti wangu nimeona wanafunzi wengi wanasoma sana wakati wa mitiani kwanini?nisaidieni kujibu.
0 Reactions
27 Replies
4K Views
wana fj tushirikiane kuhusu hili..wiki mili zilizopita chuo cha ustawi wa jamii kilifungwa na serikal kwa muda uliojulikana kutokana na mgomo wa haadhiri,chakushangaza pamija na kuwa ni mgomo wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…