Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nashauri Watanzania kwa ujumla wetu, bila kujali kama mtu ana dini au hana, tuanzishe utoaji wa sadaka maalum kila siku au kila wiki ambayo inapendekzwa iitwe SADAKA YA ELIMU. Lengo liwe ni angalu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF nifungueni katika hili. Wabunge kulipia ada wanafunzi ni PUBLIC RESPONSIBILITY ya mbunge au ni RUSHWA kwa wapiga kura. Ninaelewa kuna mfuko wa kusomesha wasiojiweza katika Halmashauri...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sudani ya kusini ina makabila mangapi?watu kiasi gani?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Matumizi sahihi ya maneno haya ni yapi? Ukarabati au ukarafasi na kujiuzulu au kujihuzuru?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimehitimu na degree ya sanaa na elimu BAED matarajio yangu ni kama ifuatavyo:nitafundisha miaka 4 tu katika gvt schools baada ya hapo nataka nafanye post graduate diploma ya public administration...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kichwa cha habari chahusika... Ngoja nilie kwanza kabla sijarudi
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nwangwine Publishers wameleta Revolution katika fani ya uandishi wa vitabu hasa vua elimu ya sekondari. kusema kweli juhudi zao zinawasaidia sana walimu, wazazi na wanafunzi kupata vitabu mbali...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ni takribani miezi mitano impepita sasa tangu mahafali ya kwanza ya Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) ifanyike na kuhudhuriwa pia na mkuu wa nchi ambaye alitunukiwa shahada ya uzamivu. Jambo la ajabu...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Ndugu zangu wanaJF,nasikia hiki ni chuo kinacho offer course karibia zote za kipekee Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla,kama vile Bsc.Geomatics(land...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari zenu...!wakati niki sirf kwenye tovuti mbalimbali nimegundua kuwa kun awebsite ambayo wanafunzi na walimu wanaweza kuitumia inaitwa www.SONGOKA.COM sasa kama wadau wa elimu jaribu kuangalia...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wana UDOM wanajadili juu ya suala la uwekezaji katika elimu hapa tz, naona Dr Lwaitama nae yupo ndani ya studio Ila sasa Udom wanatoa hoja nyingi wakihusisha matatizo yao ya kutokwenda mafunzo kwa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau naombeni msaada wa jisnsi ya kutafuta area under curve. Curve ina data nyingi lakini huwezi kuformulate function yeyote ili uweze kufanya kwa ku-integrate.. Ila una normal X-Y plane... idea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni kweli nafasi za ualimu ngazi ya CHETI na STASHAHADA zimetoka?
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Hisabati kwa watoto wa shule za msingi Afrika Mashariki. Ni ajabu kuwa majirani zetu Kenya watoto wao wanawashinda wa hapa kwetu hata kwenye zoezi dogo la Kiswahili! Ni kweli ripoti inaonesha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kila nikitafakari jinsi mambo yanavyoendeshwa hapa nchini nakosa majibu. Nauli 60,000 kwa vigezo vipi? Kwanini siyo 40,000 au 100,000.
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Hello to all in here.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati usajili wa wanafunzi wa mwaka wa 3,college ya sayansi ya jamii,ukikamilika jana,kwa kupitia nyaraka zote za malipo ya ada,leo mitian ya final inaanza,lakini wanafunzi wote ambao wanadaiwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kama ni vitabu sawa,elimu inayotolewa ni ya hapahpa ya mfumo wa tanzania kwann iwe private na sio governmenty?tatizo nini?walimu or wanafunzi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za hapa jamani wanandugu...ebwana naomba msaada wa kupata link za kuweza kupata spss version 16...kun aresearch nataka kufanya.....
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Carnegie Corporation funded Next Generation fellowship in Social Sciences opportunity for mid-career scholars from select African Countries[/h] By fundsforngos, on June 30th, 2011 The Next...
0 Reactions
0 Replies
987 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…