Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

hali si shwari kwa wafanyakazi wa chuo cha cedha – arusha tunaomba wizara itusaidie matatizo yaliyopo chuo cha cedha-arusha, kaimu mkuu wa chuo dr. Masatu hafai kabisa hapa chuoni ana upendeleo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
naombeni msaada wenu ili niweze kujua tofauti ya hivi v2 jama
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Please; may you help me this question? WHAT ARE PROBLEMS HINDERING A POLICY MAKER IN THE REAL WORLD TO USE PARETO CRITERION?? Do you agree with the PARETO criterion for efficient allocation of...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
wanaJF nina ndugu yangu kamaliza form 6 HKL na kapata div 3.16(yaan ana SSD),je kuna uwezekano wa kupata chuo cha serikali? Na koz ipi itakuwa rahisi kudahiliwa? Vp kuhusu TUMAINI na SAUT atapata?
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Ndugu zangu, najua hapa jamvini kuna watu wa taaluma na uelewa mbalimbali hivyohadi kufikia uamuzi huu nimeona kabisa kwamba, nitapata watu wenye kuelewa na wanaoweza kunisaidia katika hitaji...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mimi naomba kuhoji kuhusu suala ya management ya UDOM kuwarudisha nyumbani wanafunzi wa kitivo cha mawasiliano na elimu angavu (Informatics & Virtual Education), kisa walikua wanadai pesa zao za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
......................................Qingdao Medical University (QMU) Course offered Bachelor of medicine and medicine (MBBS) language - English Duration - 5.5 years The complete fee...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Naomba ushauri jaman!nimemaliza kidato cha sita HKL na nimepata DIV 4 YA 19 .je nifanye nini sasa?naomba mnisaidie.
1 Reactions
21 Replies
4K Views
kijana ambaye kwa jina anaitwa mwaisiga thobiasi na abubakiri bashi wamechafua hali ya uchaguzi udom.vijana hawa wakiwa wananadi sera katika chuo cha elimu na chuo cha sayansi ya jamii wamezomewa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Inasemekana kuwa wakoloni hasa kwa Tanganyika walikuwa ni wajerumani tu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kiasi fulani niliipenda hotuba ya Mkuu jana ingawa kuna maswali mengi ambayo hakuyatolea majibu km aliposema waajiri wanatoa masharti magumu wanapotangaza nafasi za kazi, kipengele cha uzoefu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina mdogo wangu amemaliza form six masomo ya History, Kiswahili na English. sasa sijui chuo kikuu anaweza kuchukua masomo gani na kama kazi atafanya kazi gani? msaada wenu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu yangu kapata matokeo yake ya kidato cha sita,amepata div.3 ya 14 katika combination ya HGK (E,E,D) Sasa je anaweza kusoma elimu ya juu hususani degree?na je yuko eligible kuomba mkopo...
0 Reactions
44 Replies
8K Views
Saturday, January 15, 2011 Rais Kikwete aunda tume mgogoro UDOM SAKATA la uongozi na wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) limeingia katika hatua nyingine baada ya Rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kasoma HKL, Div 3, point 13. Kama anaweza kupata, je ni kozi zipi zinaweza kumfaa?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waungwana toka jana computer yangu imekuwa blocked na internet na: Trojan.BNK.Win32.Keylogger.gen, ntajiokoaje na kituko hiki? naomba msaada tafadhali
0 Reactions
5 Replies
1K Views
What are the management problems that can be solved by excel forms?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
migomo ya mara kwa mara ya vyuo hapa nchini inawezekana ikawa ni sababu ya kupungua kw idadi ya waliopass alevel mwaka huu kulinganisha na miaka ya nyuma?. me kwa mtazamo wangu kabla matokeo haya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana JF, naomba mnielimishe kulikoni forum ya scince & technology haifunguki au ni kwa computer yangu tu, au kumetokea nini? naomba mnijuze tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Naitwa Yohana Benjamin, nimezaliwa mwaka 1993 Kigoma. Nimesoma shule ya msingi Kabanga mazoezi, Kigoma wilaya ya Kasulu. Mimi nina ulemavu wa miguu, hata hivyo nimebahatika kumaliza na kufaulu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…