Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

fungueni site hii hapa mchangamkie sclolarship hizo acheni kulala wakati kuja kusoma ni jinsi unavohangaika kutafuta haya kazi kwenu kwa wanaotaka hakuna kulala kila siku tunapitwa na waganda na...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
19 April 2011 Last updated at 02:47 GMT Tuition fees: 'Most universities' want to charge £9,000 Comments...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
PATA MATANGAZO YA HAKI ELIMU KUPITIA CHANNEL YAO YA YOUTUBE YouTube - hakielimutz's Channel
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hii inaumiza sana, Unapotuma pesa kwa M-PESA unapewa transaction ID na VODA, Hiyo transaction ID unaitumia ku-confirm malipo HESLB ili uweze kuprint form ya maombi ya mkopo: mbaya kuliko...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
tangu mwaka jana,suala la kushuka kwa kiwango cha ubora wa elimu inaotolewa katika shule za msingi na sekondari hasa za serikali limekuwa likijadiliwa katika vinywa vya wananchi wengi na hasa...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu,naomba kuulza tofaut ilyopo kati ya hzi degree mbili,BA-economcs inayotolewa UDSM na BS-agroeconomcs inayotelewa na SUA,na ipi ni nzur kwa kusoma kulinganisha na demand ya nchi...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha dodoma imekumbwa na ufisadi mkubwa zaidi ya shilingi mia hamsini nane milioni wahusika mwenyekiti coed na spika coed .pia viongozi wa wanafunzi wa chuo cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tayari moja ya matatizo yaliyosababisha mgomo mkubwa udom wa takriban siku 9 miezi kadhaa iliyopita yanarudi kwa mara nyingine.wanafunzi wanapanga foleni ndefu kwa muda mrefu,kama wanafanya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tutageuza majengo yote ya Serikali Dodoma kuwa vyuo vikuu na vyuo vya ufundi kwa kuendelea na azma yetu ya kuachilia mbali mpango wa kuhamishia makao makuu kwenda Dodoma. Dodoma itakuwa ni jiji la...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
katika hali inayoonesha kuwa mahesabu ya ccm kuwa udom ni kambi yake yanapotea sasa wanaccm wachache chuoni hapa wamekuwa hawana amani tofauti na wenzao wa cdm.Mfano siku wanaenda kuazimisha...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
chama cha mapinduzi kimekua kikipata upinzanani mkali kwa vijana wa chuo baada ya kujivua gamba chama hiki kimekua kikiwabembeleza wanafunzi kuwapa kampani siku hizi kila jumamosi vijana wamekua...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Je huku si kutafuta posho za ziada? Mwakyembe aomba akafundishe Sunday, 10 April 2011 Habel Chidawali, Dodoma NAIBU Waziri wa Ujenzi, Dk Harrison Mwakyembe, ameuomba...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Naomba wana jf mnisaidie. Nilipokwenda UDOM (University of Dodoma) kwa mara ya kwanza kuona chuo kikubwa ambacho kinavuma kwa kasi. Ukiwa unaingia getini utakutana na nembo kubwa ya CCM wakat...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
By SOSTHENES PAULO MWITA, 15th April 2011 CHILD rearing is a simple task that is managed by all sorts of parents - the rich and the poor. Even beggars, and other socially disadvantaged citizens...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kijana mmoja mwana ccm kwa jina machafu jana alipewa zomea na kibanao cha kishikaji baada ya kutangaza kuwa kesho tarehe kumi na sita kutakua na kikao cha ccm .huku akisema kuwa watalete magari...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kijana mmoja wa chuo cha dodoma kitivo cha elimu amepata kibano cha kishikaji baada ya kutaka kubandika matangazo ya kikao cha ccm dodoma ambacho wajumbe wa halimashauri kuu watahudhuria .kijana...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba maelekezo namna ninavyoweza kupata matokeo ya darasa la saba (online) kwa miaka mitatu iliopita, summary ya shule kwa shule, ili kujua shule zinazojitahidi katika mtihani wa darasa la saba
0 Reactions
0 Replies
9K Views
nina wasiwasi na jinsi tunavyosisitiza watanzania wote kufikia elimu ya chuo kikuu(wasimamizi) na tukasahau kuwa tunahitaji pia watu wa elimu ya kati ambao hasa ni watenda kazi (mafundi mchundo)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
SUALA la uchakachuaji mitihani limeingia katika sura mpya baada ya kuibuka kampuni zinazoendesha biashara ya kuwaandikia ripoti za utafiti, wanafunzi wanaohitimu elimu ya juu katika vyuo vikuu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
An article from TIME - Worth reading! Finland's Educational Success? The Anti-Tiger Mother Approach -- Printout -- TIME#
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom