Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wanajamvi. Samahani kwa kuwasumbua. Naomba nipate kushare dukuduku langu kuhusiana na barua za maombi ya Kazi pamoja na CV kwa waliowahi kuomba kazi. Endapo unatakiwa kutuma maombi ya kazi...
0 Reactions
5 Replies
38K Views
Hipi nikozi nzuri kati ya hizi mbili biomedical science na Biotechnology mwenye uzohefu na hizi course au kamakunamtu anasoma course mojawapo nisaidie number.
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Assalam Aleikum Habari za usiku Kumekuwa sintofahamu juu ya dini zetu hizi Kuna watu hawajua mwezi January kwa dini ya waislam Hii hapa
1 Reactions
8 Replies
7K Views
Nimechaguliwa TIA na Mwalimu Nyerere kwa uzoefu wako wapi Ni pazuri kwa kujifunzia
0 Reactions
6 Replies
565 Views
Habari zenu wakuu nauliz kuhusu vyuo ninavyoweza pata nafasi ya masomo kwa course ya clinical medicine kwa wakat huu baada ya kukosa katika gorvenment l...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimemaliza diploma ya uuguzi, nilitaka kuunganisha degree lakini matokeo mbaka sasa bado hayajatoka ya diploma na applications round ya 3 mwisho kesho. Msaada anaefaham vyuo Vizuri vya afya nchi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Poleni kwa Majukumu wakuu naomba kujua taasisi zisizo za kiserikali zinazotoa Msaada wa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wa elimu ya juu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Kuna kijana ana matokeo kama ifuatavyo. Diploma in Clinical Medicine GPA ni 3.9 kahitimu 2015. O' level ana:- B/Maths - A, Physics - B, Chemistry -B, Biology - B na English -...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Habari wana JF kwa wote waliochaguliwa chuo cha Mtwara College Of Health And Allied Science tukutane apa
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Nina mdogo wangu kamaliza form six mwaka huu (PCB)na kapata division two ya 11. Ameomba degree DOCTOR OF MEDICINE hapa nchini amekosa, Kwa sasa familia tumeamua akasome nje ya...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Hivi mtu mwenye ufaulu huu anaweza kusoma kozi ya Optometry hata kwa chuo cha private? O'level Physics- D Chemistry- D Biology- C English- C B/Maths- F Advance Geog- "B" Chemistry- C Biology- "B"...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Wakuu habarini za saa hizi. Husika na mada tajwa hapo juu... Mimi ni miongoni mwa walioomba mkopo, lakini kuna swala linanitaniza kidogo.. Juzi siku ya Jumatatu, nilipokuwa natembelea GOOGLE...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za mida wakuu, Kuna mdogo wangu hapa kachaguliwa kwenda kusoma MD UDOM na UDSM. Amekuja kuniomba ushauri ni wapi anatakiwa kuconfirm, naombeni ushauri wenu kulingana na exposure yenu kwa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Tarehe 17/09/2021 NACTE kupitia ukurasa wao waliweka tangazo na ndani ya hilo tangazo wamesema wale wanafunzi ambao hawakuchaguliwa na ambao hawakuomba nafas za vyuo basi wafanye hivyo katika...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Katika kila hatua mpya ya maisha kuna mambo usiyoyajua kwa sehemu, ambayo ukiyajua na kuzingatia kwa asilimia kubwa yatakuwezesha kuwa na matokeo bora ya maisha tofauti na asiyeyajua kabisa...
9 Reactions
4 Replies
3K Views
Nijulisheni kuhusu Ajira za watu waliosoma Human Resource Menagment na pia kwa aliemaliza degree ajiendeleze na Kozi zipi? Au asomee skills ipi?
0 Reactions
7 Replies
17K Views
Daah wakuu inaniuma sana kukosa nafasi kwenye hiki chuo cha wanyamapori Pasiansi. Ni chuo nilichokuwa napenda kwenda kusoma ila ndio basi tena nmekosa nafasi ya kuchaguliwa na sijui nifanyeje. Kwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu habarini za saizi Ningependa kujua kwamba, hivi kwa mfano umechaguliwa vyou viwili let say (MZUMBE NA MUSTI) in the second round, na itokee umechaguliwa kozi ambazo huzipendi.. later on...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Namna ya Kujenga Uhusiano Mzuri na Wafanyakazi Wenzako. 1.. *Wasaidie watu kufikia malengo yao - Usiwe kikwazo cha mafanikio ya wengine kikazi au binafsi. 2.. *Wafanye watu wajione wanakuzidi -...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu hbr ya jioni Naomba wenye kuifahamu vizuri kozi ya tajwa hapo juu anijuze inahusu nn hasa. Kuna ndugu yangu amechaguliwa hiyo kazi sasa sina ufahamu mzuri kuhusu kozi hiyo..hasa nachoombwa...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Back
Top Bottom