Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Tume ya Vyuo Vikuu nchini (TCU) imetangaza awamu ya pili ya udahili wa shahada ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2020/2021 ambapo utaanza rasmi Oktoba 12 hadi 18 mwaka huu. Akizungumza na waandishi...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Vijina.., Nimeoomba AVN kwaajili yakuombea chuo. Ila kiukweli hatua ni nyingi mno nimepambana Nazo japo sina uzoefu ni mara ya kwanza na nimefanikiwa kumaliza pia wameniambia nisubiri ndani ya...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Refer to the heading above, Naomba mnisaidie wana JF ni wapi ndani ya mkoa wa Dar es Salaam naweza kupata mafunzo ya lugha ya alama (sign language)? Ni muhimu sana kwangu Msaada tafadhali
1 Reactions
13 Replies
8K Views
Kwa walimu walio kwenye shule za kifundishia viziwi naomba mnisaidie materials zifuatazo: 1. Mtahala wa Kufundishia kwa awali na shule za msingi 2. Vitabu vya Kiada na Ziada 3. Vitabu vya Rejea...
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Wataalam hv hadi sasa chuo cha NIT hakijaweka mazingora mazur ya usomaji au watu wanachuki binafsi na chuo hicho tuapene taarifa za hicho chuo upande wa mazingra ya kusoma.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Msaada wa mawazo nimehitimu dipl ya uhasibu TIA gpa inasoma 3.9 nitapata kweli Ardhi university b science Accounts.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ushauri kidogo ndugu zangu. Bachelor of Arts In Journalism na Bachelor of Arts In Mass Communication, ipi ni kozi nzuri, maana mdogo wangu anataka kuomba. Ushauri tafadhali
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wana jf,GPA ya diploma inasoma 3.7 ndoto kuingia UDSM kwa competition iliyopo pale ntapata kweli??
1 Reactions
50 Replies
5K Views
Wana JF; Nilikua naomba msaada maana nmejarbu kuapply kwnye UDSM ADMISSION lakn inaload af inafail msaada wakuu
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Thread
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa wengne hali ikoje jaman?? kwangu mtandao umengomea kabisa
0 Reactions
3 Replies
903 Views
Nimechaguliwa udom na muce na vyote nimeconfirm vyote nasaidiwaje
0 Reactions
62 Replies
12K Views
Salamu, wakuu kuna ndugu yangu kapata GPA ya 1.3 first year. Kwa matokeo haya kuna namna ya kuingia mwaka wa pili??? Kweli Au imeshatoka akafanye maisha mengine mtaani
2 Reactions
62 Replies
4K Views
Kwanza, ili kuwaepusha na tamaa za kudokoa, watoto hawa wanapenda na wao washike pesa na wanunue mahitaji yao ya kula, ulaya watoto wana akaunti zao. Pili, kuwaepusha na kurubuniwa na watu wenye...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Salaam! Hongereni na poleni kwa majukumu, naomba msaada kati ya Degree ya Science (ICT) na Degree ya Science (Data Management) zinazotolewa na Open University of Tanzania ipi ni bora zaidi hasa...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Mwenye uelewa na hiyo kozi naomba ufafanuzi please
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Muongozo wa NACTE na TCU ukoje kuhusu mwanafunzi aliyepata carry-over akiwa mwaka wa tatu/mwanafunzi anayesoma kozi ya miaka minne akapata majanga mwaka wa nne semister ya mwisho vipi anaweza...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu wana Jamii Forums naomba mnasaidie kujua Course ya INSTRUCTIONAL DESIGN AND INFORMATION TECHNOLOGY ina deal na nini na pia baada ya kuisoma unaifanyia kazi field gani msaada plz🙏🙏
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Ndugu mwenye taarifa anisaidie maana niko bush sana, nikijua mapema itapendeza maana nitaanza mapema maandalizi ya safari kwenda kutuma maombi! karibuni ndugu zangu.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom