Habari wana JF,
Naomba nijikite kwenye mada moja kwa moja nina mdogo wangu kamaliza kidato cha nne mwaka jana (2014),matokeo yake ni mabaya amepata pass ya mwisho(0.3GPA)...
tangu tupate matokeo...
Mimi nmemaliza kidato cha nne mwaka jana 2019 na matokeo yangu yakatoka mwaka huu 2020 ufaulu ulkua n civ - C Hist - D Geo - C Kisw - C Eng - C Chem - C Bio - C Phy - D Math - D jumla nkawa na...
Vijana changamka, omba vyuo.
Kila la heri!
===
Moderators samahani mliweka Tangazo la mwaka jana. Nimefanya editing na kuweka la mwaka huu posted on 15th June 2020
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA...
Salam ndugu wana JF,
Naomba kuuliza, hivi application za vyuo kwa ngazi ya diploma na cheti tayari zimeanza au tayari muda wake umeshapita? Kwa mwaka 20/21
Ninamdogo wangu nahitaji nimfanyie...
Jamani naomba msaada wen, mdogo wangu wa amechaguliwa kozi mbili kujiunga elimu ya chuo kikuu.
Moja ni Bachelor of science Food science and technology SUA morogoro na nyingine ni Bachelor of...
Wazoefu wa masuala ya mikopoko ya Vyuo Vikuu, ni mambo gani ya kuzingatia wakati wa kuomba mkopo ili kufanikiwa kupata mkopo ikiwa sifa yako ni mhitimu wa diploma.
Michango yenu muhimu sana.
Ndugu zangu mwaka jana nilipata chuo pale makao makuu. Sasa nilibidi niache maana sikupata mkopo na mimi ni diploma holder na pia course niliyochaguliwa ilikuwa priority.
Sasa sijakata tamaa...
Here below is a link to the problem I'm concerened about. A best approach to its solution, has been provided by math24 website staff. I really like their approach!
However, I also have tried to...
Wasalaam wakuu,
Naomba kujuzwa aliyesomea masuala ya Telecommunications engineering anaweza kufanya kazi gani nyingine nje ya kuajiriwa kwenye makampuni ya Simu?
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima.
Naomba msaada Kwa anaejua faida za kusoma Kwa mfumo wa Cambridge.
Na shule za A level zinazofundisha Kwa mfumo wa Cambridge.
Na matokeo yake naweza...
Wakuu naomba kama kuna mwalimu yeyote au mtu yeyote mwenye notes za masomo yote kuanzia ngazi ya primary hadi advanced level zilizo na maelezo mafupi na mazuri kwa mahitaji ya wanafunzi ili...
Sote tunafahamu kwamba VETA ni sehemu sahihi ya watu kuendeleza au kuibua vipaji vyao katika fani mbalimbali.
Ni bahati mbaya sana VETA haipewi kipaumbele kiasi kwamba vyuo vingi havinauwezo wa...
Wadau habarini za asubuhi. Nimeicopy hii kule tweeter.
Bodi ya Mikopo imewanufaisha watanzania wengi sana ikiwa ni pamoja na kuwajengea watanzania misingi ya kielimu kwa ajili ya future katika...
Wandugu naona UDSM wameanzisha hiyo program hapo, naomba kama kuna mtu ameishaisoma au anasoma atupe uzoefu kwa maana ya ubora wake na kama jamaa bado wana usumbufu kama wa thesis
Nawasilisha
Walimu wenzangu na wadau wote wa elimu mliomo humu naomba mnisaidie notes za english medium primary schools au kama kuna mtu anaweza kunipa link.
natanguliza asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.