Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamani natumai mu wazima. Niende moja kwa moja anayejua app nzuri ya kupata notes za primary tz English medium schools anisaidie. NB: thl nimetumia ila imenishinda kitu kidogo so anaeweza...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Je! Naweza kupata kitabu cha Alfu lela U lela mwenye nacho anaweza akanitumia kwa njia ya PDF file na kusoma kwa njia hiyo! Ambaye hajanielewa ntamwelewesha Asanteni
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Ndugu zangu naombeni mawazo yenu, nisome diploma ipi Kati ya hizi. Nina vigezo vyote vya kujiunga na hizi kozi. Mimi nataka kozi itakayo nipa fursa ya kujiajili na kuajiliwa Diploma in...
0 Reactions
61 Replies
19K Views
Natumai siku si nyingi hapo mbeleni shule zitafungulia itakapowapendeza watawala, Hivyo basi, Naomba kufahamishwa shule nzuri ya boarding (english medium) kwa Dodoma. Iwe ya shirika ama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani naomba kujua Chuo cha Afya kingine chenye bei ya chini kama Muhimbili kwa level ya Diploma, tofauti ya hicho Muhimbili
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Msaada tafadhali kwa wale wanaojua mahala pa kuniwezesha mm kupata notes za Advance level Chemistry, Biology and Nutrition. Mm ni Me, Napatikana CHAMAZI MBAGALA RANGI TATU
0 Reactions
1 Replies
974 Views
Notes zotePhysics, Engineering na Science bure, agalia link hapo chini, notes zote zipo upande wa kushoto kwenye page hii page Untitled 1
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha nne 2019 na matokeo yangu yametoka mwaka huu 2020 na yanaruhusu mimi kuendelea mbele na jina langu kwenye cheti cha kuzaliwa limekosewa na ninahitaji...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Natumai mu wazima na mnaendelea vema kwa msaada Wa Mungu. Nimekuwa na shauku ya kujiunga kwa Level ya Master's katika chuo hiki. Mwenye uelewa juu ya taratibu kwa mtu aliyenje ya Uganda kujiunga...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Habr zenu wanajamv,nimechaguliwa hiyo kozi pale NIT lakini sikuiweka katika machaguo yangu niliyoweka TCU.Yani nahisi kuchanganyikiwa maana huku mtaan naambiwa kwamba naenda kua fundi...
1 Reactions
52 Replies
10K Views
Naomba website za kibongo kwa material ya shule za msingi ambazo ni free na hazina complicated log in
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Naitwa selina ni mwanachuo nasomea uhasibu AAR ngazi ya Diploma, Jamani tangu misukosuko inipate nimejikuta kasi yangu ya kusoma imepungua sana hadi lecture akauliza darasani nina matatizo gani...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakuu mwenye kufahamu ubora wa elimu wa hiki chuo hasa masters course.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za leo Wajamvi wa JF Naomba kama kuna mtu mwenye uelewa na taarifa za uhakika Bodi ya Mikopo Tanzania (HESLB) au kuhusu Ufadhili wa wowote wa kusoma SHAHADA ya UZAMILI anipatie kwa haraka...
1 Reactions
2 Replies
942 Views
wasalamu... wale tulioacha chuo kwa hiari baada ya kugundua tunatakiwa kuunda system zetu za kutoka kimaisha na sio kufata mfumo usio na masirahi kwa speed hii ya maisha tujuane hapa . binafs...
3 Reactions
153 Replies
17K Views
Wana jamvi habari I za wakati huu na amini wote wazima munazidi kupambana vyema na janga la COVID19 inayo sababibishwa na kundi la VIRUS'S aina ya CORONA. Kama kichwa kinavo jieleza apoo juu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samaleko. Natumaini ni wazima wa afya kabisa, ukiachilia mbali vitabu vya mashuleni kuanzia la kwanza hadi chuo kikuu, katika maisha yangu sijawahi kusomaga somaga vitabu vya riwaya aidha za...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Nakumbuka nilifaulu la saba kwenda Azania lakini Mzee akakomaa kunipeleka Makongo Sec. Enzi hizo mkuu wa shule ni kanali mstaafu Idd Omar Kipingu, aisee Ile shule (enzi hizo) ilikua balaa. Kulikua...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wadau naomba kujua taarifa kuhusu hiki chuo kinachotoa online study scholarships na kama kuna mtu amewahi some kupitia chuo hiki anipe dondoo maana nimeomba masters degree in business...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilisikia kuhusu kitabu hicho miaka michache iliyopita, na kwamba ni kitabu kilichoandikwa Marekani,USA. Naomba mwenye taarifa zaidi atujuze wana JF na kinapatikana wapi. Mimi binafsi nakitafuta...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom