Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani nimekua selected course ya bachelor of arts with education Duce lakini ninahitaji kwenda udsm mlimani kusoma course nyingine nifanyaje ili kubadili admission
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Yani Shule za Advance wanapangiwa waliopata Division I and II ila kwa Wasichana hadi Division III wanaenda Advance alafu ni haki sawa mbona sijaelewa hapo anaejuwa kuhusu hili msaada jamani.
4 Reactions
33 Replies
830 Views
Sehemu gani sahihi ya kujifunza Kifaransa na kupata CHETI?
0 Reactions
1 Replies
309 Views
Salaam wana jukwaa. Naomba kujua shule za A-Level (form 5 & 6) za serikali ambazo zinafanya vizuri katika combination ya PCB (Physics, Chemistry na Biology). Binafsi tayari nazijua Tabora...
3 Reactions
5 Replies
739 Views
Naomba msaada wenu Iconfirmation yangu UDSM; nahitaji kwenda Law moja kwa moja lakini wameni-select Education na Law pia.
2 Reactions
3 Replies
200 Views
Awali ya yote naomba nimshukuru mungu kwa kupasua ile paper kwa maana UNIVERSITY ningeisikilizia redion tu na kidiploma changu cha ualimu Sasa ndo muda wangu Wa kuacha fan ya ualimu na kwenda...
1 Reactions
36 Replies
9K Views
Naombeni ushauri juu ya Tution center gan nzuri ya kusoma CPA nataka nianze ili mwezi wa 11 nifanye mitihani na pia nichukue masomo mangapi ili nifauli bila wasi wasi. Location nipo Dar es salaam...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
1 Reactions
0 Replies
213 Views
Naomba kuuliza mwenye ana details za kutosha kuhusiana na Bachelor of Science in Health Information Science pamoja na soko lake pia likoje. Nilitaka kusoma hiyo bachelor ya HIS.
1 Reactions
3 Replies
605 Views
Anonymous
UDOM chuo chetu kizuri sana ila kina waajiriwa wahuni sana wasiojali wateja wao. Watu wameshikiliwa matokeo yao na hawadaiwi hata mia, Utaratibu wa chuo unajulikana huwezi kuingia chumba cha...
2 Reactions
3 Replies
258 Views
Bachelor of commerce in accounting at udsm vs Bachelor of science in accounting and finance at ardhi university naomba ushauri niende course ipi apo
6 Reactions
15 Replies
910 Views
Ndugu wana JamiiForums naomba msaada kipi ni kozi marketable kati ya Environmental Science vs Biotechnology and Laboratory Science. Niko dilema nisaidieni idea.
4 Reactions
31 Replies
7K Views
WADAU natumai wote hamjambo, shida yangu hapa mweye kuwa na pdf ya MWENE'S ROUGH DAY (story book) tafadhali naomba Dogo alipoteza Kitabu cha shule wamemkazia hadi akilipe. Nimekisaka hadi nimechemsha
1 Reactions
0 Replies
146 Views
Mwaka wa masomo 2024/2025 umekuwa wa tofauti kuliko miaka nyumba, kupitia wizara ya Elimu kumekuweko na mabadiliko ya kimitaala katika uendeshaji wa Elimu yetu. Moja ya madiliko ni kuwekwa Kwa...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Bodi ya mikopo(HESLB) imeunganisha mifumo ya kimkakati Kwa ajili ya kuwafikia wanufaika wenye kipato lakini hawajaanza kurudisha mikopo hiyo. Heslb imeingia makubaliano ya ushirikiano na wakala...
0 Reactions
68 Replies
3K Views
Taasisi ya mafunzo ya uanasheria Kwa vitendo (LST) imepandisha gharama za mafunzo ya uanasheria kwa vitendo kutoka 1,570,000/= mpaka 2,950,000/=. Ikumbukwe kuwa malipo hayo hufanyika Kwa mkupuo...
0 Reactions
55 Replies
6K Views
Wadau naomba kama mtu una past paper ya advanced physics practical B ya2020 unisaidie
1 Reactions
9 Replies
267 Views
Nilikuwa naomba uelewa kuhusu Kozi ya BSc in physics and chemistry inayotolewa udsm kama naweza kusoma. Ufaulu wangu nimepata one ya sita, physics B, chemistry A na education C
5 Reactions
44 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Leo nimeumia kweli. Nipo na rafiki yangu ananiambia habari za mtoto wake Umri miaka 7. Karudi mtoto huyo amwambia babake kuwa kamsikia mtu mmoja huko mtaani akimwambia...
3 Reactions
35 Replies
914 Views
Habari wakuu. Kuna mdogoangu alifanyiwa application za chuo cha afya cha diploma (nacte) lakini kachaguliwa ambacho ni cha private na pia ada yake ni kubwa tunataka kumbadilishia au tuanze upya...
2 Reactions
3 Replies
228 Views
Back
Top Bottom