Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari Wakuu!! Nacte imeeshaanza kutoa transcript kwa wahitimu wa mwaka 2018 ambao walimaliza mwaka jana mwezi wa kumi 2018. Ahsanteni.
1 Reactions
0 Replies
757 Views
UJUZI MAALUM "Watu wanaoacha kujifunza kwa sababu tu wamemaliza shule, daima wataangamia kwenye umasikini bila ya matumaini pasipokujali wanafanya kazi gani. Nija ya mafanikio ni njia ya kutafuta...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukiitoa DIT naomba ushauri katika hivi vyuo vifuatavyo ni kipi sitajuta kama mhusika atafanikiwa kupata udahili na yeye akaenda kusoma itakiwavyo. Ufaulu wake ni C(3) na D (4) pamoja na English...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari ndugu zng,nmehitimu kidato cha nne nmepata div 1:15 nachukua masomo ya biashara, na kombi zote zmebalance lkn staki kwenda advnc nataka niende chuo,naomben ushaur wenu course ya kwenda...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari Wakuu, Hii ni kwa Walimu na Wadau elimu hasa kwa shule za Sekondari, kuna hii kazi ya NECTA ya Photo Entry kwa wanafunzi wa Kidato cha Pili na Nne kwa mwaka 2019. Nafanya kazi hii popote...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu naomba kujua hizi ajira tunazosikia zinaombewa vibali kila kukicha zinatoka lini?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
2K Views
J Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
430 Views
Mimi nilikuwa sipendi sheria inayosema "Chomekea muda wote" Hapa hadi nilipewa spaa ya miezi 3 kutokana na kosa hilo kujirudia kila siku huku jibu langu likiwa lile ile ,"nimesahau mwalimu ila...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa mtu anaesoma BAM Na ECONOMICS je ni lazima awe na scientific calculator?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
-High import rates and low export rates -Massive unemployment -Low wages -Harsh leadership at various levels -Unequal exchange ie gold, ivory, kor show, gun powder -Life inequalities between top...
0 Reactions
1 Replies
715 Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima. Naomba nieleweshwe mtu aliye soma bachelor of arts in economics anaweza kufanya kazi gani ?
0 Reactions
0 Replies
417 Views
Hi, I am eager to get my driving license in Tanzania, however I am 16 years old. The Tanzanian law book says 16 years of age for motorbikes. Even the TRA website says 16 years of age for...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Je ni topic ip ambayo u will never 4get msuli wa advance ya physics!
0 Reactions
125 Replies
19K Views
Naomba kuulza kwa anayefahamu, je Kuna MSc. In applied microbiology Udsm?! Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
770 Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima. Nimejaribu kupitia pitia guide book ya TCU sema kuna course sijazielewa vizuri kama hizi za "bachelor of arts in ..." Naombeni wakuu mnieleweshe...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Habari za jioni wanaJF Naomba msaada wa kufahamu shule nzuri ya sekondari ya boys tu kwa wenyeji wa moshi Ahsanteni
3 Reactions
61 Replies
17K Views
Samahani kwa usumbufu ningependa kujua course ipi ni nzuri kati BVM na SCIENCE IN CHEMISTY Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kumekuwa na watu wanahoji hizi PhD zetu Tanzania kutokana na utendaji wa hawa wanasiasa unavyotia mashaka. Unadhani ni candidate wapi wanapashwa kufanyiwa academic credentials audit to...
0 Reactions
5 Replies
972 Views
na mdogo wangu amemaliza form 4 kapata MATH C ,CHEM D ,BIO D PHZ F ,KISW C ,GEO D ,ENG D HIST F NA CIV D aende chuo gan chenye soko au aludie phy , chem na bio? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
582 Views
Wana MMU naombeni mnifahamishe kama wahitimu wa kidato cha nne 2018 ambao hawakupata alama zakuwawezesha kwenda A level je ni kweli wamepangiwa vyuo? Na kama ni kweli wapi naweza angalia
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom