Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari! Naomba kuuliza fursa za ajira kwa upande wa sayansi za komputa katika ngazi ya diploma, je ina soko? Je inauhitaji katika makampuni, pia katika kuanzisha project zako binafsi kama vile...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari ya Asubuhi, kama umeamka vyema na pia umemka katika hali isiyo njema usihofu it`s just a new day with the new lots of possibilities. Katika Maisha Hakuna majuto bali ni mafunzo tu ya...
5 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanzania tumejaaliwa na vijana wengi sana ambao ndio chachu ya mendeleo na mabadiliko chanya kwa Taifa letu. Bila kusahau tuna Vyuo Vikuu na Taasisi 64 zinazotoa elimu juu (Kuanzia Certificate...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba apk ya power ramp full version Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
327 Views
Chuo bora kwa degree ya sheria kwa arusha,anayejua naomba anifahamishe.
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Wadau habari za asubuhi, nna apply scholarship nchini China, naombeni msaada wa jinsi ya kupata barua ya Pre-Admission Letter. Asanteni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Chuo gani naweza fanya certified project management?
0 Reactions
0 Replies
607 Views
Jaman me nnaswal nimemaliza form four mwaka jana 2018 nna division two ya 20 na nmebalanc comb zote natak niend chuo eti niende kipi ambacho bora sana pia au kuna ushaur wowote nnaeza kupata...
0 Reactions
2 Replies
916 Views
NI MWANAFUNZI WA PCB ANA "D" MASOMO YOTE KASORO PHY AMEPATA "E" NA KUPATA III 13 KUTOKANA NA WIMBI LA AJILA NA WEPESI WA KUJIAJILI....... UNAMSHAULI KUSOMA KOZI GANI YA SAYANSI KWA DIGRII...
0 Reactions
9 Replies
905 Views
Mkutano wa berlin ulifanyika siku ya jumapili 15/ November /1884 hadi febuary 1885. Mkutano huu ulijumuisha wajumbe wa nchi 14 za ulaya na wajumbe kutoka USA. Mkutano huu uliitishwa na aliekua...
1 Reactions
9 Replies
15K Views
Sifa za kujiunga na form five ni zipi? Je ni sawa private na public schools? Nisaidie maana kuna mtu ana d tupu anawenda private school kufanya interview ya kujiunga na form five.
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Ndugu wanajukwaa habari zenu Nimekuwa nikipitia NECTA GUIDE BOOK Mara kadhaa Ila nimeshindwa kujua tofauti kati vigezo vya kusoma certificate na diploma kwa course za art mfano Business...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, Msaidieni huyu ndugu yangu, Ni mwalimu ngazi ya cheti na anataka kujiendeleza katika kozi tajwa. Msaada tafadhali kulingana na swali. Asante. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa yeyote ambae yupo udom social science naomba anipelekee fomu zangu ofisi ya katibu mkuu wizara ya Elimu,sayans na teknolojia jengo la taaluma no, 10, . kama upo tayari Tafadhali nisaidie...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mamboz, unakumbuka nini ambacho huwezi kusahau kipindi ukiwa msingi?
0 Reactions
93 Replies
13K Views
Kwa wanajamii forum wote Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
551 Views
Kama kuna mtu yuko Dodoma aliyesomea masuala ya utalii, anitafute inbox tuongee deal ya uhakika. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
955 Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima. Nimeanzisha Uzi huu ilikupeana uzoefu wa boarding school. Yaani mwanafunzi anatakiwa expect nini akienda boarding school
0 Reactions
4 Replies
856 Views
Habarini wadau naomba kuuliza je chuo cha udom kina toa diploma? na kama ndio ni course gan ambazo zinatolewa asanteni sna
0 Reactions
6 Replies
32K Views
Back
Top Bottom