Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, natafuta chuo hapa Dar es salaam wanachotoa professional course za IT, specifically nahitaji kusoma c#, na system admin
0 Reactions
2 Replies
628 Views
Naomben muongozo kwa hili wana JF kwa wale wenye uzoefu Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nilisoma form four nikapata three nikiwa Na B/math B, Bio C, Chem D, phys E Geo D, kiswz B+,language D, hist D na civ D nikakosa post selikalin nikaenda private form five comb EGM form six pia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Zamani watu waliubeza sana ualimu.Wachache waliipenda kazi hii,miaka ya 2008 -2015 vijana walikula ajira bila kuomba.Tatizo nn mbona mahitaji ni mengi hasa shule za msingi? Sent using Jamii...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mi mwalimu s/msingi naweza kwenda kusoma diploma???
0 Reactions
0 Replies
365 Views
Habari wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyoeleza nataka kujua kama kuna chuo kinatoa kozi yeyote inayohusiana na masuala ya Wakimbizi. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wana jf,ningependa kujua kama wizara ya elimu ikinominate majina kwenda commonwealth kwajili ya scholarship huwa inataarifu successful applicants pekee au hata waliokosa? Sent using Jamii...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanajf vyuo gani bado vinatoa admission kwa kozi za afya namaanisha vyou vizuri vya private sio vyuo vya kata thanks in advance
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari wana jf, hivi hii issue ikoje coz nimeiona kwenye magrup ya watsup P.O.BOX 1923 Dodoma - Tanzania. Tel: 026 232 2848. Fax: Email: ps@tamisemi .go.tz. Website: www.tamisemi.go.tz. Online...
2 Reactions
7 Replies
43K Views
Nimeingia kwenye website ya chuo chetu pendwa cha DIT nikijua kawaida yao wanataka ufaulu wa C kwenye masomo matatu ya science na mathematics. Lakini katika kuangalia sehemu ile ya ONLINE...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Wadau, kuna kijana yatima kamaliza kidato cha nne nina mfadhili. Jana nimeletewa form zinazoonesha amechaguliwa na wizara ya elimu na ufundi, kwenda kujiunga na chuo cha ufundi moshi ambacho ni...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jamn msaada naulizia kama muhimbili kuna upgrading ya nursing toka diploma kwenda degree Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau tukutane hapa jamvini wale tuliowahi kwenda kusoma hizi kozi za muda mfupi India. Kitu gani umejifunza ukiwa huko india kinaweza kusaidia nchi yetu ya Tanzania. Na chuo gani unaona trainer...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
B.SC. IN METEOROLOGY Meteorology is a branch of physical science that has wide applications and services in the following four main areas: 1.Agricultural Meteorology: This area consists of...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu mambo vipi? Naulizia mwenye uzoefu na course tajwa hapo juu. Ningependa kujua kutoka kwa wazoefu wa degree program hii, admission wanasema wanaweza kusajili hata yule ambaye hakusoma...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wana JF Nimatumaini Mko poa saana, poleeni na Majukumu yenu ya Kulijenga Taifa Japo sementi imeshuka bei ila Upande wa vyakula sokoni bei haikamatiki,.. Twende pamoja na Uzi huu. Kazi ya ualimu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima. Nilikua naomba msaada mnifahamishe mtu aliyesoma Bachelor of Arts in Economics anaweza Fanya kazi gani? Natanguliza shukrani zangu kwenu wakuu.
0 Reactions
1 Replies
616 Views
Wakuu salam kwenu...ningependa kufahamu kuhusu sifa za mtu anayehitaji kujiunga na National Defence College [NDC] kilichopo maeneo ya kunduchi Dar...
1 Reactions
6 Replies
8K Views
Wakuu nimetoka kusoma tangazo sio mda nipo Kijijini huku nanjilinji vipi wakuu kutokana na vigezo Kua kwa English ni wahitimu wa 2014 to 17 na mimi ni 2018 nizamie? Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni binti nilifanya mtihani mwaka juzi nikapata D2 na c1....mwaka Jana nikafanya tens nimepata D2 ila masomo yamejirudia yaleyale je naweza kujiunga na kozi ya marketing pale NIT...tafadharr...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom