Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Jamani naomba kuuliza kama naweza chaguliwa A-level. Nimepata three ya points 25 nina C-4 za HKL pamoja na Civics D-2 ya Geo na Bio pia F-1 ya Math...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kam kichwa cha habar kinavyo sema mdogo wang amepata Civic-C Hist-C Geog-D Kisw-C Engl-C Bios-D Math-F Je atachaguliw adavnc ya serikal??.msaada tafadhal Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
36K Views
Hii ni moja ya Shule za Serikali hapa Mkoani Mbeya inayoongoza kwa Ufaulu na kuupa Mkoa Heshima. Ni kwa Matokeo yote Form 4 na 6 Mlioko Mbeya na Mliosoma hapa na kuhifahamu hii Shule nadhani...
1 Reactions
31 Replies
13K Views
Habari Wana Jukwaa, Jumuiya Ya Wazazi Tanzania Inamiliki Shule Kadha Wa Kadha Ndani Ya Tanzania Zaidi Ya 70, Ikiwemo Itende- Mbeya Ujiji High Schoo- Kigoma Sangu - Mbeya Ivumwe- Mbeya Meta-...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Ndugu, naombeni information zaidi kuhusu Alpha High School, ubora wa elimu inayotolewa pale na kama kuna chochote cha muhimu cha kukifahamu.
0 Reactions
57 Replies
18K Views
Wakuu naomba msaada namna ya kusolve parallelogram law of vector addition? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
501 Views
nmepata D ya chem, hst, phy, math, geo, na C ya bio, civ, ksw, na eng mnanishauli niende chuo gan au four five naweza kwenda,?
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Kama kichwa kilivyo hapo juu,wadau naomba mwenye kujua,hivi usaili (Interviews) kwenye mashule wa kwenda form V unaanza mwezi gani...?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wanaJF Mimi ni Mwanafamilia mwenzenu wa humu japo sina Muda mrefu sana ila nafurahia sana jinsi kulivyo na Ushirikiano mzuri kwenye shida na raha lakini pia taarifa mbalimbali nazipata...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Sio kwamba Watu au Wanafunzi wa Kagera wana akili sana kuliko wengine lakini ni juhudi za Wananchi, Walimu na Wazazi hasa kutathmini elimu kwa mtoto kuliko kitu chochote kile Ukichungulia vyuo...
8 Reactions
659 Replies
71K Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima Nilikuwa naomba msaada kwa anayeijua shule ya Maurice Secondary School iliyopo temeke Dar es Salaam.
1 Reactions
4 Replies
975 Views
Nahitaji kujua centre inayotoa tuition, Moshi mjini. Nahitaji centre hyo iwe inalaza wanafunzi (boarding) na gharama zake, kwa masomo ya O'level Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari, Mdogo Wangu Amepata English C Civics C Kiswahili C Bios D Geo D Hist D Math F Anataka Aanze Certificate Ya Sheria Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam Je Kwa Matokeo Hayo Anaweza Pata...
0 Reactions
2 Replies
675 Views
Ndugu wapendwa naomba kuuliza kuwa form five selection zitakuwa mwezi wa ngapi??
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wadau wa Elimu mtanisaidia kwa hili, Iko ivi... Nataka kumsomesha mdogo wangu wa kike masomo ya sanaa. Sasa mimi mwenyewe tiamaji tiamaji kwa hiyo shule nayoitaka sitaki mbwembwe(shule zenye ada...
1 Reactions
2 Replies
9K Views
Amani ya mola iwe juu yenu wote, Ni matumaini yangu kuwa wote tumeamka salama na kwa wale mnaokabiliwa na mitihani yoyote basi M/Mungu awafanyie wepesi mpate suluhisho la mitihani hiyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima. Naomba mwenye kujua anisaidie. Necta wanaangalia kitu gani mpaka wampangie mtu combination ya HGE ??
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima. Nimemaliza kidato cha nne mwaka jana Na nimepata div 3 ya 24. Lengo langu ni kusoma HGE lakini nimepata History D Na Geography D. Je naweza enda...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wadau kichwa kinavyojieleza Dogo ana point 26 na history C kiswahili C English C na mengineyo ana d flat. Je anaweza chaguliwa government?
2 Reactions
46 Replies
6K Views
Back
Top Bottom