Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nahitaji kufanya somo la physics ili niweze kusoma course ya orthopedic for fun. Nilihitimu fourth 2009 na sikufanya Kabsa physics Inawezekana???? 🐒🐒
3 Reactions
21 Replies
495 Views
Habari wana JamiiForums, naitwa Robi Daphane Ngabiya tafadhali nimepotelewa na vyeti vyangu original vya taauluma kwenye vigari vidogo aina ya probox mnamo tarehe 20 -7-2024 lilikuwa linatoka...
1 Reactions
2 Replies
405 Views
Anonymous
Wahitimu wengi wanalia na mfumo wa kupata AVN kupitia NACTVET ili kuwawezesha kuomba masomo katika elimu ya juu. Wahitimu wengi wanatia huruma kukoseshwa fursa ya kusoma kwakukosa AVN na sababu...
1 Reactions
3 Replies
333 Views
Samahanini asee, Nawezaje kufanya application katika colleges za ualimu mm niliyehutimu kidato cha nne? Process zinakuwaje
1 Reactions
3 Replies
724 Views
Wadau kwa wale wanao appeal loan, pale kwenye kipengele kinachohusu udhamini wa TASAF, pale mimi niki weka namba ya kitambulisho cha tasaf haikubali, msaada plz
2 Reactions
4 Replies
643 Views
Mchanganuo wa Nyaraka za zinazohitajika kwa anayetafuta Pasipoti ya Kusafiria Kwa Safari ya Ulaya na Kuweka Mipango ya Maisha. Kabla ya kuanza safari yako ya Ulaya na kuanza hatua mpya ya maisha...
22 Reactions
112 Replies
8K Views
Habari wakuu... Mwenye Notes za Microsoft publisher au anaejua mahala ninapoweza kuzipata msaada please
3 Reactions
11 Replies
544 Views
Waziri wa Elimu na Mbunge wa Rombo kwa mwenendo huu anaenda kuua zaidi Elimu yetu. Ukiangalia katika uwekezaji wa Elimu yetu ,Waziri Mkenda amehamishia nguvu kubwa katika uwekezaji katika programs...
8 Reactions
17 Replies
1K Views
Habarii....... Nilifanya application kupitia nacte sasa nimechaguliwa chuo nisichokipenda na ada yake Iko juu tofauti na kwenye guidebook Sasa Nikawa nataka wanifute ili niende chuo kingine...
5 Reactions
43 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu naona ajira portal wametoa tangazo la udhamini wa masomo Egypt kwa kozi ya Udaktari (MD) ambapo mwisho wa maombi ni tarehe 5 August. wenye Uzoefu naomba experience ya jinsi ya...
1 Reactions
4 Replies
587 Views
Naombeni ushauri nisome cozi ipi ata ikitokea nimekosa ajira basi nijiajiri, nimehitibi tahasusi ya CBG
0 Reactions
0 Replies
389 Views
Nilikuwa naomba ufafanuzi wa institutional admissions entry ya vyuo?
3 Reactions
5 Replies
327 Views
Habari, Naomba msaada wakuu mwenye recently soft copy za vitabu hivyo tafadhali.
1 Reactions
1 Replies
217 Views
Place six matches as shown, and then shift one match without touching the others so that the new arrangement shall represent an arithmetical fraction equal to I. The match forming the horizontal...
1 Reactions
5 Replies
521 Views
Naomba msaada wenu wana JF..nimekwama hii sehemu jinsi ya kujaza apo chini kwenye picha. Naomba mnisaidie.
1 Reactions
49 Replies
3K Views
Wakuu kwema? Nina dogo hapa anataka kusoma kozi zinazohusiana na Biashara, kwahivyo ninahitaji ushauri kwa mawili! 1. Nataka mumshauri dogo kozi nzuri ya biashara ya kusomea! 2. Chuo Kizuri kwa...
3 Reactions
4 Replies
360 Views
Wakuu naombeni msaada jinsi ya kujaza hiyo sehemu kwenye ku request control number ili niweze kupata equivalence. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
14 Replies
437 Views
Msaada wa shule ya private kwa kidato cha tano kwa michepuo ya sayansi PCM na PCB. Shule iwe ya bweni maeneo ya kibaha mlandizi au chalinze. Ada iwe kati ya milioni moja mpaka milioni mbili na nusu.
1 Reactions
4 Replies
911 Views
Hivi kuna mtu ashawah kwenda muhas kutoka diploma , mfano course ya nurse na kama alienda alienda na GPA ya ngap?? Embu waliofanikiwa kwenda walete mrejesho ili wawasaidie na wadogo zetu...
2 Reactions
29 Replies
1K Views
Habari wanajamii, Nakaribisha wote mlioko tayari kujifunza na kupata ujuzi kuhusu PMP® (Project Management Professional) kupitia PMP® Prep Master Class. PMP® ni nini? PMP® ni cheti cha kitaalamu...
3 Reactions
1 Replies
240 Views
Back
Top Bottom