Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ukihudhuria mahafali yao vyuo tajwa hapo juu; UDSM, IFM, SUA, MZUMBE si rahisi kusikia wanatangaza wanafunzi wenye first class wengi, utakuta wanne au watano hawazidi kumi mara nyingi. Lakini...
16 Reactions
222 Replies
43K Views
Habari zenu Wana JF, Mimi nahitaji kufahamu kuhusiana na hizo kozi mbili upande wa kuajiriwa na kujiajiri Kati ya radiology na physiotherapy nikianza na radiology naona kwa Tanzania teknolojia...
3 Reactions
77 Replies
4K Views
Special cases mtu aende form 6 Bado ni mdogo sana kiumri Hakuna uwezo wa kumlipia ada Kutaka kuwa mwalimu, Background yangu, Nilimaliza form 6 miaka ya 2009 nikapiga division 2 ya 10, baada ya...
9 Reactions
40 Replies
3K Views
Taifa linahitaji vijana wasomi na wenye elimu na maarifa ya kutosha, sasa inakuaje tena kunakuwa na adhabu ya kuwafukuza shule vijana hawa ambao ndio taifa la kesho pale wanapokutwa na makosa ya...
0 Reactions
1 Replies
405 Views
Napata shida sana baada ya kuhamishwa kikazi kuja dodoma nahitaji international school mkoa wa Dodoma , Kwa mnaojua nisaidieni nipeleke wanangu
4 Reactions
55 Replies
6K Views
Habari wakuu, Samahani naomba idea ya course nzuri nayoweza kujiajiri kwa haraka ndugu zangu mfano kama graphics designs
3 Reactions
7 Replies
684 Views
Habari wanaJF, Hivi Cheti cha CO(clinical officer) kinaweza kufungua DLDM au pharmacy?
1 Reactions
1 Replies
514 Views
Habarini wadau, Kwa wahusika ningependa ielekeze tangazo maalum la usomaji wa saa kwa wananchi wa Tamzania, Mpaka sasa tuna mifumo mitatu ya uandikaji wa muda kuna : 1. 24hrs 2. 12hrs 3. Asubuhi/...
1 Reactions
8 Replies
495 Views
Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na...
7 Reactions
118 Replies
13K Views
Hii scholarship inamaana si mkopo sio? Inakuwaje mpaka uipate? Wizara ya Sayansi na Technolojia inapata wapi majina ya wanaostahili kuomba hii scholarship? Ebu wale walionufaika watujuze!
1 Reactions
3 Replies
469 Views
Habar za saa hizi wadau.. Nauliza kama kuna mtu anayejua shule nzuri ya primary ya kiislam (iwe ya boarding) iliyopo dar es salaam ambayo ni nzuri kitaaluma na ada ni nafuu. Natanguliza shukrani .
0 Reactions
12 Replies
45K Views
Oyeee!! Wale tuliochaguliwa kozi yetu pendwa hapo UDSM ,tukutane hapa ili tujadili mambo mbalimbali yahusuyo kozi hii na umuhimu wake katika taifa kwa ujumla. Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Petroleum petroleum namba wanaisoma! Watu wana masters zao namba wanaisoma, watu wana PHD zao namba wanaisoma. Namba shufwa wanazisoma, namba witiri namba tasa. Watu wana mauzoefu yao namba...
28 Reactions
99 Replies
17K Views
Anonymous
Wana jamvi, Naandika kutoka shule ya msingi Mugundu ilioko mkoa wa Singida,wilaya ya Iramba,tarafa ya kinampanda,kata ya Kyengege. Tuna shida ya uongozi wa shule alihamishwa mwl mkuu Sebastian...
0 Reactions
13 Replies
817 Views
Hivi vyuo vyote watu wameshapata AVN number?
0 Reactions
4 Replies
624 Views
Habarini wana JF, jamani kuna chuo kipya cha Mwanza university nimeona ada ni milioni 8 kwa local citizens[emoji174][emoji17]. Hivi haiwezekani serikali kuregulate ada kwa vyuo vya afya? Maana...
2 Reactions
44 Replies
5K Views
Wadau habari za Muda huu, Ninaomba ushauri kidogo Kwa wanaojua Nina mdogo wangu ni mwalimu wa sekondari aliyeajiliwa alisoma Bachelor of Arts with Education GPA ya 3.4 Anataka kusoma Masters...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Mimi nina umri wa miaka 27 ,ni mama wa watoto 4 ,nilifika mpaka kidato cha 5 ila sikufanikiwa kumaliza A level. Ninatamani kujiendeleza kimasomo ila sina uwezo natamani nikaanze certficate in in...
9 Reactions
95 Replies
3K Views
Nina one ya point 9 PCB nataka ni omba MD naombeni mawazo yenu wadau
1 Reactions
28 Replies
809 Views
GPA(Grade Point Average) Flow of GPA chart. 1-First class GPA starts from 4.4GPA to 5.0GPA 2-Upper second class GPA starts from 3.5GPA to 4.3GPA 3-Lower second class GPA starts from 2.7GPA to...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Back
Top Bottom