Ukihudhuria mahafali yao vyuo tajwa hapo juu; UDSM, IFM, SUA, MZUMBE si rahisi kusikia wanatangaza wanafunzi wenye first class wengi, utakuta wanne au watano hawazidi kumi mara nyingi.
Lakini...
Habari zenu Wana JF,
Mimi nahitaji kufahamu kuhusiana na hizo kozi mbili upande wa kuajiriwa na kujiajiri Kati ya radiology na physiotherapy nikianza na radiology naona kwa Tanzania teknolojia...
Special cases mtu aende form 6
Bado ni mdogo sana kiumri
Hakuna uwezo wa kumlipia ada
Kutaka kuwa mwalimu,
Background yangu, Nilimaliza form 6 miaka ya 2009 nikapiga division 2 ya 10, baada ya...
Taifa linahitaji vijana wasomi na wenye elimu na maarifa ya kutosha, sasa inakuaje tena kunakuwa na adhabu ya kuwafukuza shule vijana hawa ambao ndio taifa la kesho pale wanapokutwa na makosa ya...
Habarini wadau,
Kwa wahusika ningependa ielekeze tangazo maalum la usomaji wa saa kwa wananchi wa Tamzania,
Mpaka sasa tuna mifumo mitatu ya uandikaji wa muda kuna :
1. 24hrs
2. 12hrs
3. Asubuhi/...
Ukichunguza matokeo ya wanafunzi wa form six 1960-2014 walikua ni miamba kweli kweli, yaani mtu anatambulika karibu kijiji kizima kwamba kijana wa flani kafaulu, mimi binafsi nilikua nikikutana na...
Hii scholarship inamaana si mkopo sio? Inakuwaje mpaka uipate? Wizara ya Sayansi na Technolojia inapata wapi majina ya wanaostahili kuomba hii scholarship? Ebu wale walionufaika watujuze!
Habar za saa hizi wadau..
Nauliza kama kuna mtu anayejua shule nzuri ya primary ya kiislam (iwe ya boarding) iliyopo dar es salaam ambayo ni nzuri kitaaluma na ada ni nafuu.
Natanguliza shukrani .
Oyeee!!
Wale tuliochaguliwa kozi yetu pendwa hapo UDSM ,tukutane hapa ili tujadili mambo mbalimbali yahusuyo kozi hii na umuhimu wake katika taifa kwa ujumla.
Asanteni.
Petroleum petroleum namba wanaisoma!
Watu wana masters zao namba wanaisoma, watu wana PHD zao namba wanaisoma.
Namba shufwa wanazisoma, namba witiri namba tasa.
Watu wana mauzoefu yao namba...
Wana jamvi,
Naandika kutoka shule ya msingi Mugundu ilioko mkoa wa Singida,wilaya ya Iramba,tarafa ya kinampanda,kata ya Kyengege.
Tuna shida ya uongozi wa shule alihamishwa mwl mkuu Sebastian...
Habarini wana JF, jamani kuna chuo kipya cha Mwanza university nimeona ada ni milioni 8 kwa local citizens[emoji174][emoji17]. Hivi haiwezekani serikali kuregulate ada kwa vyuo vya afya?
Maana...
Wadau habari za Muda huu,
Ninaomba ushauri kidogo Kwa wanaojua Nina mdogo wangu ni mwalimu wa sekondari aliyeajiliwa alisoma Bachelor of Arts with Education GPA ya 3.4
Anataka kusoma Masters...
Mimi nina umri wa miaka 27 ,ni mama wa watoto 4 ,nilifika mpaka kidato cha 5 ila sikufanikiwa kumaliza A level.
Ninatamani kujiendeleza kimasomo ila sina uwezo natamani nikaanze certficate in in...
GPA(Grade Point Average)
Flow of GPA chart.
1-First class GPA starts from 4.4GPA to 5.0GPA
2-Upper second class GPA starts from 3.5GPA to 4.3GPA
3-Lower second class GPA starts from 2.7GPA to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.