Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hello, I hope you are fine, My name is Godfrey, I am a nursery School teacher in diploma level. I have experience of 5 years and above, here am looking for the job of teaching nursery school. My...
1 Reactions
6 Replies
371 Views
Kozi ya bachelor of arts in economics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gan?
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Msaada tafadhali, Mtoto amepata Div one ya points 4 kwa combination ya PCM. Je kozi gani ya engineering itamfaa? Na chuo kipi?
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2024, leo Jumamosi Julai 13, 2024 katika ofisi za Baraza hilo Zanzibar. Kuangalia matokeo bonyeza hapa: Matokeo...
10 Reactions
89 Replies
25K Views
Anonymous
Kumekuwa na uonevu mkubwa sana wa CWT UBUNGO ikilazimisha kuwakata walimu mishahara kama michango ya chama bila idhini ya wahusika Wala makubaliano. Na hata wanapoomba kusitishwa Kwa michango...
0 Reactions
1 Replies
269 Views
Katika tafiti zangu zisizo rasmi ila zenye ukweli leo nilijikita katika vyuo vikuu 5 ambavyo vinavyotoa degree " hapa nchi ,kati ya vyuo hivyo 3 ni maharufu sana hapa Tanzania, tena hiki kimoja...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Kwa walendugu zangu wa 2000 pale udsm mnakumbuka haka kamchezokalipokuwa kanawaumiza madada wetu ingawa kwa bahati mbaya wengi nawajuawazuri hivi leo hatuko kano kutokana na kuambukizwa kisa...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Jamani wana jf naomba mnisaidie katika hili,juzi katika pita pita zangu nilikuta watu wakizungumzia kuhusu degree ambazo wanachuo huzipata huko wanakoita chuo kikuu. Sikuelewa pale nilipomsikia...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
Nimeona mada za kuchambua taarifa ya kufeli kwa wanafunzi Law School of Tanzania. Binafsi na mimi nimepitia Law School, na haya ndiyo ninayoyafahamu kuhusiana na hiki chuo. 1. Law School...
6 Reactions
23 Replies
5K Views
Najaza maombi ya chuo UDOM, matokea ya form six system inaniambia Failed to fetch your details. Please try again Msaasa please
1 Reactions
1 Replies
655 Views
Eeeh watu wa mechanical engineering mkae kwa kutulia kozi yenu ni cha mtoto. EE na tanzu zake kama Electronics, Telecommunucation, Control Engineering, Automation, Computer Engineering na...
8 Reactions
48 Replies
2K Views
Completed ‘A’ Level Studies from 2016 onwards. Two principal passes with a total of 4.0 points in Two Subjects defining the admission into the respective programme (where A = 5; B = 4; C= 3; D =...
1 Reactions
7 Replies
13K Views
Kapata matokeo mazuri sana, kwa hiyo Competition sizani kama itakua ni tatizo sana, kubwa anataka kujua course mzuri ya Kusoma. Matokeo. Chemistry A, Physics A , Adv Mathematics A .
1 Reactions
28 Replies
896 Views
Jamani naomba kuulizia chuo gani Dar es salaam kizuri Kwa kozi ya umeme wa magari🙏🙏
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Naiandika hii ppost kwa sababu nimeona kuna uzi wa "nifenyeje wanangu wawe na akili darasani" Kwanza kabisa niseme nyumbani kwetu hili lilikuwa ni tatizo kwa watoto wote labda kasoro kwa mdogo...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Habar WanaJF. Naombeni msaada juu ya hiyo course inahusu nini, waweza ajiriwa Kama nani, soko lake ajira na je, ni chuo gani kiko vizur kwenye hiyo course Kati ya NIT & SAUT. Maelezo zaid namba...
0 Reactions
12 Replies
16K Views
Je, ipi ni kozi bora na mzuri kati ya bachelor of economics and finance na bachelor of banking and finance Na ningependa kujua kozi hizo zinatoa kazi gani. Yaan ukisoma kozi mojawapo ya hizo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hii kozi ya Bachelor of Arts in Economics and Statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?
0 Reactions
2 Replies
729 Views
Habari, Nina mtoto wangu anatatizo la kuzungumza naomba kwa mwenye uwelewa wa zile shule zinazo wafundisha gharama zao na zilipo tafadhari mtoto yupo KISAKI MOROGORO msaada jamani maana anazidi...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Habari, Nina shida na mtu, mtaalam wa IT mzuri, anifunze kwa undani matumizi ya DARK WEB. Malipo, maelewano. Nawasilisha
2 Reactions
9 Replies
885 Views
Back
Top Bottom