Wakuu hbarini za jumamosi!
Ninaomba msaada wa kufahamu kuhusu post graduate ya mtu aliyesoma education na akataka kusoma sheria, uwezekano wake ukoje? Mana hitaji kutumia bachelor ya education...
Nimeona watu wengi wakianzisha nyuzi za kuuliza maswali mbalimbali kuhusu vigezo vya kupata chuo, kozi kulingana na matokeo husika.
Ni vyema tuwe na uzi mmoja ambao utabeba kila kitu kuhusu...
Habari ndugu zangu,
mimi ni mwalimu nimehamia wilaya mpya kutoka kituo changu cha zamani,nimepata shida ya kuhamishiwa mshahara wangu toka mwaka jana mwezi wa kumi,nimefata taratibu zote jibu...
wakuu Nina rafiki angu alimaliza form six mwaka 2014 HGK aliparmta division two ya 8 by then sasa nilikuwa nauliza naweza mshauri akasome kozi IPI chuo kikuu except education
Thanks
Mimi ni mwanafunzi niliehitimu kidato cha nne mwaka 2017 lakini nmeshindwa kuendelea na kidato cha tano kutokana na ufaulu wangu ivo basi nahitaji msaada wa mawazo ni kozi gani ni nzuri ili...
Wadau habari hivi awamu ya pili ya uhamisho wa watumishi inatoka lini? Walitangaza kua watatoa majina ya awamu ya pili lakini mpaka leo July 27 hakuna majina yoyote yaliyopostiwa
Kwa wenye...
Licha ya nacte kufungia vyuo ambayo havina sifa ya ku-admit wanafunzi kwa ngazi za diploma na degree, nimebahatika kusikia chuo kimoja kinaitwa Royal pharmerceutical Traininga Center kinapatikana...
Kwa nini tangu 2016 mpaka sasa taasisi nyingi zimekua haziajiri tena wamekua wakitoa tu nafasi za volunteer na internship
kwa upande wangu huwa napata tabu sana kuelewa unakuta kampuni limeajiri...
Wadau kama kichwa cha uzi huu kinavyojieleza, nimevutiwa sana kujifunza lugha ya Kichina cha kuongea na kuandika kwasababu zifuatazo;
1) Nchi yetu imekuwa ikipokea wageni wengi sana kutoka China...
Hivi mtu anaetokea certificate clinical medicine halafu akachukua diploma baadae akajiendeleza kwa level ya degree anaweza kupewa mkopo akiwa anasoma degree yake au huwa hawatoi kwa mtu aliepitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.