Wakuu salaam
Binti kapata Div 2 point 12 mchepuo wa HGK katika matokeo yake ya kidato cha sita 2018. Masomo aliyofaulu ni Geography D Kiswahili C, Kidato cha nne masomo yote mawili alipata C...
Tabia!! Tabia!! Tabia!!
Hivi ni kwanini Msomi Profesa unakaa unatunga sera na kujenga mfumo wa kumbana Mtu asitimize ndoto yake? Wewe unapata faida gani hasa kwa kufanya hivyo ??
Hivi imagine...
Matokeo ya form six tayari yameshatoka na harakati za kuanza kutafuta kozi za kusomea huko vyuoni tayari zimeshaanza. Nafaham kazi kubwa ya watu wa iT ni ku solve problems in our society sasa...
Naombeni munijuze wana wa JF
Hivi ni vitabu gani ni bora vya combination ya PCB ambavyo ukiwa navyo vitaweza kukupush na kuweza kufanya vizuri mtihani yangu pindi niingiapo kidato cha tano...
Kwa sasa naomba nikiri kuwa ELIMU yetu iko ICU inaelekea kwenye jeneza ama kaburi ifukiwe NA kupotea kabisa. Kuna mambo tutabishana lakini kwa hili naomba mnielewe.
Nilikuwa najaribu kuongeza...
Salamu zenu ndugu wanajamii,
Nahitaji kufahamu vitabu vinavyofaa,muhimu na rahisi kuvitumia katika masomo ya kidato cha tano na sita hasahasa masomo ya biology,physics na chemistry.
Habari wana-JF
Naomba msaada kwa mtu mwenye uzoefu wa kuomba chuo cha SUA, nimefanikiwa kujisajili nina username na password ila kuna sehemu ya kuweka numba ya mtihani wa advance
Sehemu hiyo...
Lindi clinical medicine
Kigoma clinical medicine center
Masasi(mtwara) clinical medicine center
Hivi vyuo ni bora kweli kwenye mafunzo ya clinical medicine kwa ngazi ya cheti na diploma???
Wanajamvi heshima mbele.
Naomba kujua kwa mwenye uelewa mzuri kuhusu vyuo vya India vinavyotoa Degree ya Engineering (Civil) na makadirio ya gharama zake. Nina binti yangu nataka nimpeleke huko...
*APPLICATION ZA VYUO ZIMEFUNGULIWA RASMI: HIVI HAPA VYUO VYOTE NA MAELEKEZO YA KILA CHUO -JINSI YA KUTUMA MAOMBI 2018*
[emoji828] *[Download PDF Files] za maelekezo ya APPLICATION kwa Kila CHUO*...
Wakuu kijana wangu amesoma CBG na amepata EDD respectively na yuko interested sana kujiunga SUA kwa course yoyote kati ya hizi;
1) Bsc of tourism management.
2) Bsc. Wildlife management.
3) Bsc...
Habari wakuu naomba kuuliza hivi kwa mfano tayari una bachelor na hujamaliza mkopo unaodaiwa, unaweza kuomba tena degree ya MD ambayo ni kipaumbele cha serikali ukapewa tena mkopo ?
msaada jamani juu ya clinical officer kwa matokeo haya chem-C, bios-C, phyz-F, math-D na englsh-C . Na kama naeza kupata ni kwa chuo gani ?
wakuu msaada jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.