Natanguliza samahani katika hili mm n kijana nliyemaliza kidato cha sita mwaka huu na kupata ufaulu ufuatao,,
O-level
Math B
English B
Literature C
Geography B
History D
Civics D
Kiswahili C...
Habari wakuu?naomba kujua mwanafunzi aliepata daraja la 15 kwa mchepuo wa CBG anweza pata chuo cha shahada?pia kozi zipi anaweza somea kutokana na ufahuru huo.....naombeni ushauri kwani hapa...
Napenda kuwapa pole wale wote waliokosa AVN kwa sababu tofauti ikiwa zao binafsi ama kwa kuchelewa vyuo walivyosema kupeleka matokeo yao NACTE.
Ila nawakumbusha kuwa NAVNS bado ipo wazi waendelee...
habari wanajf
naulizia hospitali inayoweza kudhamini mafunzo ya clinical medicine kwa masharti ya kufanya kazi kwenye taasis husika endapo ukimaliza masomo
nilishawahi kusikia eti ndanda hospital...
Wadau nina kijana wangu, amefaulu vizuri tu form 6, na anahitaji kusoma kati ya hizo kozi mbili hapo juu, kwa anayefahamu indetail kuhusu hizo kozi. Msaada please ili niweze kumshauri..Maana...
Habari za wakati huu?
Naomba msaada wa mawazo.
Nina ndugu aliyemaliza kidato cha sita, Combination CBG.
Kwa mujibu wa matokeo yaliyotoka hivi juzi, amepata division three (3).
Sasa naomba mwenye...
Pass za kijana wangu ni hizi:
Physics -D
Chemistry D
Biology C
Anatamani sana kusoma Pharmacy, je kuna chuo kitampokea. Bugando is rejecting.
Minimum pass za pharmacy ni zipi? please assist...
Naomba msaada., minimum 6 points ina maana gani,
C=3
D=4
E=5
sasa hapo minimum 6 points zinapatikanaje?
Three principal passes in Physics, Chemistry, and Biology with minimum entry of 6 points...
Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha tano ambae nimechaguliwa katika shule moja hapa jijini Dar nikiwa nimepangwa tahasusi ya HGK. Ndoto yangu ya kitambo ni kuwa mwanasheria lakini kuna watu...
Muswada ulishapita bungeni je kuna anayefahamu chochote je ishasainiwa? au itaanza lini?
Wenye Diploma waula,sasa kuanza kupata mikopo
11 months ago Wenye Diploma waula,sasa kuanza kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.