Wadau naombeni kupewa utundu na marifa hapa,ukiandika sms kwa sim ndogo unaweza kuandika mpka pages 5 kwa baadhi ya sim lakini sms hiyo hiyo ukiituma kwenye simu za smart inaingia ndefu sana...
Mimi ni miongon mwa wanafunz niliomaliza kdato cha sita sasa nilikuwa naomba mnisaidie nahitaj kuchukua geography na mathematics chuo sa bdo cjajua faculty ya kuchukua na chuo cha kwenda kusoma...
Habari za mchana wanafamilia
Naomba mnisaidie Chuo kipi hapa Tanzania kinachotoa course ya interior&exterior design.. Anaefahamu naomba kujuzwa Tafadhali.
Ahsanteni na mchana mwema.
Wana JF naomba mwenyewe kufahamu chuo kinachotoa mafunzo ya kozi ya HIV/AIDs cancelling kinachopatika DSMs . Mm nimehitimu kidato cha 4 na nilisoma masomo ya sayansi.
Habari wakuu
Natumaini kuna watangulizi hapa ndani waoweza kunipa mwanga kidogo kuhusu programs mbalimbali ktk kada ya afya, matokea yangu ya O-level nilipata div 1 huku physics B, chem A na bios...
Wapendwa Wahitimu Kidato cha Sita 2018,
Kwa Heshima kubwa, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kinawapongeza sana kwa kuhitimu masomo yenu na kufuzu vizuri kupitia matokeo ya mtihani yaliyotangazwa...
Wahitimu wengi wamekuwa na ukakasi juu ya course ipi wasomee kutokana na matokeo waliyopata ,lakini njia nzuri ya kuchagua course sahihi ya kusomea ni kufikiri kitu gani unakipenda na ndiyo ndoto...
Habari Wakuu kwa niaba ya wengi
Ningependa Mnifahamishe Chuo kizuri hapa tanzania ambacho kinatoa koz za Computer application na wana walimu wazur ada inakuwaje kwa mwaka nk.
Miaka ile hakuna kitu kilikuwa cha mshtuko kama usikie matokeo.
Matokeo yakitangazwa lazima siku mbili tatu uskie wawili watatu wamejinyonga mwingine mara kanywa sumu.
Ila sa hivi hata hupati...
Kampuni ya Hadithi Zetu Limited, Iliyoko Arusha Tanzania AICC Ngorongoro wing office no 239
Inakuletea Mafunzo ya Lugha ya Kichina, yatakayo anza Tarehe Sita August 2018.
Mafunzo haya Ni ya...
Ana two ya 12 PCB kama ifuatavyo Chem C bios C phy S kuna course ya mefical lab inataka point 6 na at least awe phy ana E kwa muongozo wa TCU JE KWA HAYO MATOKEO ANAWEZA PATA MEDICAL LAB??? AU...
Imma Grateful for such Results
Brilliant Schools.. Ndanda High School
Great Pongezi kwa Mr HeadMaster et al.
They made it Great
Mwanao akiwa hapo... Usijutie
Hii ina maana gani: ... including 3 passes
Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with four (4) passes in non-religious subjects including three (3) Passes in Biology...
Habari za leo wakuu
Naomba kuuliza msichana mwenye II ya 12.. A level anaweza akapata chuo kinachotoa degree ya medicine? kama ndio naomba kujuzwa ni vyuo gani anavyoweza ku apply..
Na kama sio ni...
Msaada mwanangu anahalisha ana umri wa miezi 7 nimempeleka hospital kapatiwa vipimo vyote lakin hakuonekana na ugonjwa wowote, hivyo naombeni ushauri kwa yeyete mwenye utaalamu au uzooefu na mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.