Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari za muda huu chiefs? huu ukiwa ni uzi wangu wa kwanza kupost humu JF naomba niongelee suala la usomaji wa vitabu, japo tayari wapo waliokwisha liongelea naomba namm nilipigilie nchi...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Nina ndugu yangu amemaliza kidato cha sita anataka ku appy bachelor degree. Ni wapi mahali bora zaidi kwa maana ya wahadhiri, mazingira, na ubora wa elimu kati ya chuo kikuu UDOM na sauti???
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Kwako waziri wa elimu, Mimi ni mtanzania ninaye penda shule za serikali zifanye vizuri katika mitihani ya Taifa. Ninapendekeza shule zote zinazo kuwa za mwisho katika, mitihani ya taifa, ziwe...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama mada inavyosema wadau wale tuliosoma a.t.c tukutane hapa,tukumbushie za nyuma kidogo maana huu Uzi in special kwa wale wote waliopitia hapo karibuni sana wadau wote wa civil eng.,electrical...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina mdogo wangu amepata TWO YA 12 CHEM C BIOS C PHY S Je anaweza pata chuo chochote cha afya kiwa cha private au cha goverment au nimshauri akasomee nn kwa hayo matokeo
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Katika kuangalia matokeo yenu nimegundua walio pata daraja lakwanza point 3,4,5,6,7 nizaidi ya wanafunzi 500, huku MD muhimbili wanachukua 210 na UDOM 90 jumla 300,ushauri Wangu wanafunzi...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Mpendwa msomaji wetu, Kama wewe binafsi au ndugu yako au rafiki yako anayehitaji kusoma Elimu ya sekondari au kusafisha cheti chake/chako cha kidato cha IV katika mwaka wa masomo 2019...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
..
0 Reactions
1 Replies
826 Views
Wana jf naomben msaada naulizia bei ya kusoma compyuta each program n sh. Ngap ?
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Wakuu naomba kuuliza je MTU aliyesoma cbg anaweza kupata scholarship kusomea udaktari nje ya nchi kuna rafiki yangu kamaliza six ana div I-9 chem-c, bio-c ,geo-c, anataka Ku apply vyuo vya nje...
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Tumeona takwimu za wanafunzi bora kitaifa, shule bora kitaifa. Sasa nakuletea shule zilizofanya vizuri kitaifa kwenye kila somo matokeo ya kidato cha sita 2018. General Studies - Kemebos (Kagera)...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Habari zenu, Nina ushauri mdogo kwa wadogo zangu kidato cha 6 wanaotaka kuapply vyuo Aisee ,msidanganyane huko mtaani,nakushauri kasome kitu unachokipenda,siku hizi hakuna ajira sio...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Amepata division two ya 11 ya PCB. phyc D, Chemistry D, Biology C. anapenda kusoma kozi ya afya. naombeni ushauri kama atapata au
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Ni kipindi kingine tena ambapo wanafunzi wa vyuo vikuu wanaenda nyanjani kwenye mafunzo ya vitendo Kwa wale walimu- wanafunzi,hasa wa jinsia ya kiume huwa wanaingia sana kwenye vishawishi hasa...
8 Reactions
29 Replies
3K Views
Nina ndugu yangu kamaliza six cbg.chem-D bios-D geog-E ana taka diploma ya clinical officer ana weza pata kweli chuo???
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Jamani Mdogo angu anataka kusomea ualimu, sasa katika kuangalia hizi course za ualimu nimekutana na hizi course mbili.Naomba kujuzwa tofauti yake na ili aweze kuwa mwalim aombe ipi? 1. Bachelor...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, kuna dogo kapata E tatu{H.G.L} ananiuliza kama anaweza soma degree kozi yeyote ile hapa nchini, mimi nilisoma kwa utaratibu wa zamani kidogo nimeshindwa kumpa jibu naombeni mnisaidie jibu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau naombeni mnisaidie kuhusu hiii fani ya bachelor of science in cyber security uwanja wake wa ajira umekaaa vipi ningependa kufahamuuu uko vipi. Maaana nina mdogo wangu amepata scola ship...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Twaweze to soften the issues ahead of you, put it that way: The Statistical Package for social sciences (SPSS) was badly fed and hence the inverse results! :):):):):):). It was garbage in...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Samahani Kwa usumbufu, nauliza choice number inamaanisha kwny Ku apply chuo .
0 Reactions
1 Replies
431 Views
Back
Top Bottom