Jamani naombeni ushauri, eti CPA ni ngumu ? Mimi nimemaliza degree ya uhasibu IFM mwaka jana ndio nataka nifanye ushauri either nianze au lah.. watu wananitisha sana wanasema unaenda kupoteza ela...
Nimepata two ya 12 biology C Chemistry D na physics E naweza pata medical laboratory Bugando? Sabu nimeona TCU wanahitaji uwe na physics E chemistry C na biology D
Ukiingia kwenye tovuti ya vyuo karibuni vyote utakuta kuna tangazo la kukaribisha maombi ya kujiunga na vyuo hivyo. Lakini tangazo la fee structure unakuta ni hilo hilo la 2017/2018. Huu mara...
Habari wana jf namshukuru Mungu matokeo yangu ya kidato ccha sita yametoka vizuri ila nilikuwa naomba ushauri ni chuo gani na faculty gani ni nzuri kwa comb ya cbg kwa matokeo hata:Chem-D...
Nimeanzisha huu uzii ilii wale tuliopita na kusomaa kibaha secondary kwa miaka tofauti tuweze kufahamiana na kukumbushana nyakati na matukio tofauti yaliyopata kutokea enzi hizoo tupoo kibaha...
Ni shangwe na ndelemo katika baadhi ya familia leo baada ya watoto wao kutusua viliyvo,
pia nami nawapa hongera, pole ambao mambo hayajaenda poa.
Sasa mtihani mliobakiza ni wa kuchagua kozi za...
Habari ya majukumu ndugu zangu. Katika shule za sekondari hapa nchini, wanafunzi hufundishwa na walimu wenye diploma na degree za ualimu. Naomba kujua utofauti wao katika kufundisha, kutoa...
Amepata 3 ya 17 form six phy_F bios_E
Chem–E Bam-E lakini o-level ana
Bios-B
Chem-B
Phys-C
Maths-A
English-B je anaweza pata diploma kwa chuo au collage yoyote? Na kozi ipi? Kwa chuo kipi...
Jamani matokeo ya form 6 dogo amepata hivi;
History D
Geography D
English E
Sasa najiuliza atapata chuo kweli, na kama atapata ipi course nzuri ya kusomea? Mimi naifikiria Procurement & Supplies
Kozi ya Diploma in Geoinformatics (GFM 4) inatolewa Chuo Kikuu Ardhi (Ardhi University, ARU) kwa ushirikiano wa karibu na Chuo Kikuu cha Twente, kitivo cha ITC. Kozi hii hutolewa Uholanzi pia. Ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.