Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
  • Closed
Nimemaliza A level nina 2 ya 11 D ya phy na chem then C bios, naomba ushaur hapo nisome course gan ya afya maana nipo confused kdg
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi ni mwanafunzi ambaye kwa sasa ndo naingia kidato cha sita, Nilipata matatizo wakati narudi shule baada ya hii likizo, nikaibiwa begi ambalo lilikuwa na vitu vifuatavyo •Cheti cha form iv...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwataarifu waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019 kuwa imeongeza muda wa kutuma maombi kwa njia ya mtandao kwa wiki mbili...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Samahan wapendwa naomba kuuliza naweza soma computer in science kwa comb ya hge
1 Reactions
27 Replies
9K Views
Wakuu mimi ni moja ya watu waliochaguliwa kozi ya BEMIT ya NIT lakini hadi sasa sijapata mkopo mpaka hii 3rd lot na sio mimi tu ni watu wengi wanailalamikia sasa kama kuna mtu amepata mkopo au...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Msaada jamani ,nmechaguliwa hge but Nina vigezo kamilifu vya kuchagua cbg ,lkn kati ya hizi comb mbili ipi ni bora ???[emoji24] [emoji24] [emoji53] [emoji53] [emoji53]
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Jamani samahani hivi nauliza MBNA hawa Uhakiki Portal wanachelewa kutoa majibu...maana kuna MTU tokea tarehe 26 had I Leo still hajapata mrejesho
1 Reactions
17 Replies
6K Views
MSAADA WAKUU NINA MDOGO WANGU AMEMALIZA KIDATO CHA NNE NAHITAJI MSAADA UTARATIBU WA KUTUMA MAOMBI KATIKA VYUO MBALIMBALI
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Shida yangu naomba nielekezwe jinsi ya kutengeneza lecture video kwa kutumia PC kwa window 7 au window yeyote . Yaan notes zipo tayari sasa nataka jinsi ya kuweka sauti ya km...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari, Nilikuwa nauliza mchoraji wa ramani ya dunia alitumia kifaa gani? na Wakati anachor ramani yeye alisimama wapi?. Mwenye kujua naomba anijuze please
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Naomba kujua mahali ambapo naweza kupata kitabu cha sheria za kazi ( Labour Laws) napenda ninunue please naombeni mnisaidie namna ya kukipata.
0 Reactions
7 Replies
953 Views
Kama mada inavyosema nimepangiwa ATC,arusha kozi ya auto electrical & electronics eng.kwa wale wenye uzoefu nakozi hiyo naombeni msaada Wa kimawazo.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
What Is Research Ethics? What is Research Ethics? by Nancy Walton, Ph.D. Research that involves human subjects or participants raises unique and complex ethical, legal, social and political...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
penye bold pana maana gani? Out of... ina maana gani/ Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with four (4) passes in non-religious subjects including Three credit passes...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
naomba kufaham kwa anaejua ni lini hasa matokeo yatatoka.natanguliza shukrani
0 Reactions
11 Replies
11K Views
Excellent Training Center, tumeanza maandalizi ya kuandikisha wanafunzi wa programs ya Pre Form I 2018. Wanafunzishwa masomo ya Science na Kusoma French Bure kwa kipindi chote cha miezi mitatu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari jf,mwenye uelewa juu ya hiki ani elekeze tafadhali nipo katika harakati za kuomba mkopo ila kuna kitu kina ni tatiza kuna kipengele kina sema kama uliwahi kuwa mnifaika wa mkopo una takiwa...
0 Reactions
4 Replies
913 Views
Pitia uzi huu upate update kuusu Decca College 2018/2019. Karibu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana Jf natumaini ni wazima wa afya , samahani ndugu zangu kama kuna MTU ana ufahamu vizuri na kozi hizi naomba anifafanulie vigezo vya kusoma kozi hizi kwa ngazi ya cheti au diploma...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom