Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
mimi ni mwalimu wa masomo tajwa hapo juu. nimesoma bachelor degree of education with mathematics and information technology. pia ninaweza kufundisha physics kama kuna uhitaji. kwa shule, taasisi...
1 Reactions
2 Replies
936 Views
Habarini za mida ndugu zangu ,, tumaini langu haujambo na mnaendelea vyema na utendaji Wa ujenzi Wa taifa letu . wakuu naomba kuuliza juu ya hizi kozi mbili za afya ambayo ni clinical medicine na...
0 Reactions
6 Replies
830 Views
najua hiki ni choo cha kike, lakini mwenye jibu naomba anipatie. ninavitafuta sana. nataka titles tu.
1 Reactions
15 Replies
21K Views
Hope mpo pouwa kijana katika harakati za kutafuta maisha nimepangiwa kazi huku kigoma kama mhasibu na shirika fulani hivi la nje (NGO) Ila lengo langu ni kusoma CPA (T) ila kwa kigoma hamna centre...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtu aliyesoma educational technology kazi zake hasa ni zipi naomba kufahamishwa
0 Reactions
2 Replies
879 Views
Oy niajeee wadau humu mim form six nilipangiwa mujib wa sheria nasijaenda je kuna kuna impact gan kutokwenda
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari ndugu, Excellent Training Center ni kituo cha kufundisha masomo ya QT na wanaorudia form IV, pia tunafundisha Elimu ya Watu Wazima wasio jua kusoma na kuandika. Kwa miaka yote tumekuwa...
0 Reactions
0 Replies
749 Views
Habari wadau me nimemaliza form 6 nimeapply vyuo viwili na pia loan nimepply ila naskia ukichaguliwa zaid ya chuo kimoja inaleta tatizo kweny mkopo! Naomba kaka zangu mliotangulia mniambie...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wana Jf Mimi ni mwanafunzi nilio hitimu kidato cha nne mwaka Jana na kupata matokeo haya MATHEMATICS-C PHYSICS-D CHEMISTRY- D BIOLOGY-C GEOGRAPHY -C ENGLISH-C HISTORY- C...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Je nifakati gani ambazo mtu wa PCB anaweza kusoma na akapata ajira kiulahisi
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Iv nikozi gan ambayo mtu anaweza kusomea UDSM inayo husu mitindo na designing
0 Reactions
2 Replies
961 Views
Hello JF: nawasalimu wakuu, poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa. Nina mdogo wangu form four leaver, div IV points 29, anatamani sana kuwa mtangazaji/redio presenter, pamoja na kuwepo vyuo...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Salamu wadau wa jukwaa adhimu LA elimu hapa jf hivi kwanini elimu yetu haimuwezeshi MTU kujiajiri wengi tulidhani kwenda masomo ya sayansi ndo njia rahisi kuajiliwa lakini wengi wanaishia kuwa...
0 Reactions
3 Replies
604 Views
Habari ya mchana ndugu zangu,, Mimi no mwanafunzi was form six nmemaliza018, napatikana Tegeta mivumoni,,Kwa wazazi wrote walio karibu na maeneo haya, ningpenda kuwajulisha kuwa naweza to a huduma...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kumekuwa na baadhi ya watu wamekua wakiibeza sana UDSM, wakati hata malecture wao, ma professor wao, ma doctor wao wamesoma UDSM, au walimu wa walimu wao nao pia wamesoma UDSM, lkn pia bila kujua...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Course gani ngumu na hukimbiwa na wengi chuoni inayohusiana na MTU anayechukua HGE....Msisite kuniambia maana nafanya ka research ,nataka kusoma course ngumu maana ndo itakuwa njia rahisi ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Samahani...nauliza course gani nzuri unayoweza kunishauri kusoma chuo Kwa mchepuo wa HGE na ili nisiweze kupata tabu kwenye ajira
0 Reactions
17 Replies
17K Views
Habari Wasomi. Naomba kufahamu juu ya kozi gani fupi au kozi ndefu katika vyuo ambayo unayoweza kusoma na kukupa ajira ya mapema zaidi hapa nchini? Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau anayeifahamu hii shule kuanzia mazingira, malazi, chakula na taaluma ...na vigezo vya mwanafunzi wa kidato cha kwanza kuanza hapo. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
*TANGAZO TANGAZO* Tunatoa huduma ya masomo kupitia online tuition, huduma hii inawalenga wale ambao hawapati muda wa kutosha kutokana na majukumu mbalimbali ya maisha, kupitia huduma yetu utakuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom