Habari zenu wadau, mdau ana degree ya kwanza ya Bachelor of art with Education, specilized in linguistics and kiswahili, kaishafanya kazi mwaka wa tano huu sasa anataka kwenda kufanya masters ya...
Kwa wazazi au walezi wenye watoto ambao wana uhitaji watoto wao wasome masomo ya ziada (physics,chemistry, mathematics na biology ) tunapatikana riverside ubungo......
Kwa wanaorudia mtihan...
Habari za mda huu wana jamvii
Kama kichwa cha uzi kinavojielezea nilikua naulizia kama kuna anaefahamu chuo chochote cha serekali kinachotoa diploma in phamacy anijuze. Nitangulize shukran za dhat
Habari za mda huu wana jamvii
Kama kichwa cha uzi kinavojielezea nilikua naulizia kama kuna anaefahamu chuo chochote cha serekali kinachotoa diploma in phamacy anijuze. Nitangulize shukran za dhat
majina uhamisho yametoka! Jana usiku! lkn jina langu silioni na hata niliyebadilishana naye halioni natulikamilisha process zote Hadi mkoani! ninaomba msaada tafadhali nifanyeje naje kunayeyota...
Wapendwa wangu napata shida ku upload documents yaani barua na vyeti vyangu kwenye website ya OTEAS http://196.43.65.187
Naomba kwa yeyote mwenye namna ya kunisaidia maana kila nikijitahidi...
kwa waliosoma zamani kidogo hawatanielewa. kwa wanaosoma sasa watanielewa na wanaoshiriki ama kuchangia kulipa ada kwa wanafunzi wa vyuo kwa ngazi zote watanielewa.
katika vyuo vya umma na vya...
Nimefuatilia tafiti nyingi zinaonesha kwamba vikwazo vingi katika sekta ya elimu husababishwa na mambo yafuatayo:-
1) Umaskini
2) Kupata mimba
3) Mila na desturi
4) Upendeleo wa kijinsia katika...
Naanza kusoma mwaka huu out katika bachelor of art in education (BAED) nahiajikujua ili nijipange kukabiliana na hizo changamoto kwa kuanza na msingi mzuri. Ahsante.
Hamjambo wapendwa? Poleni na kazi maana najua lazima mnashughurika tu.
Naomba mwenye scheme of work ya Geography O-Level (sylubus mpya) na Advanced Mathematics anitumie ikibidi kwa email yangu...
Habari ndugu zangu humu ndani
Kuna tatizo limenikuta hapa katika kujaza fomu online ya kuomba mkopo kwa watu wa form six. Kuna step nikifika inagoma kuendelea namaanisha haifunguki tena.
Ni...
Habari ya mihangaiko wanajamii,
Nina kitu naomba niulize, kwa mwenye kufahamu, hasa wale ambao tunaoomba mkopo wa elimu kutoka HESLB, na tumepitia DIPLOMA...
Hii AWARD VERIFICATION NUMBER...
Naomba ushauri kwa wenye experience na masomo ya postgraduate kupitia Open university of Tanzania, Nafikiria kusoma masomo ya (MPM) MASTER OF PROJECT MANAGEMENT.
Nimeona kuna optiona kama nne...
salaam. wana jamVi.
nmemaliza form six juz nikapata divition 2 naomba msaada wenu mnipe ushaur wapi nitapata mtu wa kuniwezesha kwenda kusoma nje yaa nchi kwan ni ndoto yangu ya kila siku na...
MAENDELEO YA WAHUSIKA KATIKA RIWAYA YA KISWAHILI TANZANIA
J.S. Madumulla
Katika uhakiki wa kipengele cha mhusika katika riwaya ya Kiswahili, mtindo wa uhakiki wa ‘kijadi’ umetokea kutumika...
TANZANIA OIL AND GAS PROFESSIONALS ASSOCIATION(TOGPA)
Do you know how to explore crude oil? here are 15 steps to follow.
EXPLORATION OF CRUDE OIL.
15 STEPS TO FOLLOW
1) Know that oil is found...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.