Habari wanajamii forum
Nilikuwa naomba kuuliza kuhusu hii page ya MWALIMU WA KISWAHILI sio matapeli kweli maana nilikuwa nataka nisome vitabu hapo lakini wanataka kuilipia online sasa kabla...
Wadau vipi.
Poleni na majukumu ya kila siku sana zaidi nitoe shukrani zangu kwa uongozi wa JF kwa kuturudisha hewani.
Tukirudi kwenye mada.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23. Nimehitimu...
Naupongeza uongozi wa chuo kikuu IFM kwa kutangaza nia ya kufungua tawi lake Dodoma.
Ombi: Tunaomba Vyuo vikuu vingine kama UDSM, SAUT, Tumaini vifungue matawi yake makao makuu ya nchi Jijini...
Wakuu Habari Zenu?
Kwa Wale Wanaoifahamu Hii Shule Naomba Watujuilishe Je Shule Hii iliyopo Dar-es-Salaam Haina Mwalimu Hata Mmoja Wa Kusomesha hata Somo Moja La Kiswahili?
DIV-I = 0
DIV-II = 0...
Habari za asubuhi wadau wote wa Jf.
Jana niliangalia kipindi cha "MWANAZUONI WETU" kinachorushwa TBC 1.
Jana walirusha kipindi hiko wakiwa chuo kikuu cha UDSM, Mada kuu ilikua ni umuhimu wa...
Sio siri tena baada ya moja ya inayosadikiwa kuwa document iliyosheheni hoja za mmoja wa wagombea anae dai kuwa ndiye aliyeshinda uchaguzi wa URAIS UDSM Bwana Evarist Matulanya ku leak, kulingana...
Wale waliofukuzwa chuo pale Bugando ambao ni Rais wa chuo na Waziri Mkuu wake; hivi wanalala kweli usiku? Maana wazazi wanavyohangaika kutafuta ada halafu unafukuzwa chuo, labda kama walikuwa ni...
Wanafunzi wa certificate na diploma tanzania yote tukutane hapa, tubadilishane mawili matatu.
Comment wewe unatoka chuo gani,
Mimi naanza; natoka NDANDA SCHOOL OF NURSING-MTWARA CLASS 2020
Kwa anayejua namna yakujisajili ili kupata transcript Nacte maana ukiingia ktk web yao maelezo hayaeleweki na ukituma pesa wanakata na maelezo yao hayaeleweki ,ukiwapigia inachukua wiki nzima...
Elimu yetu ina enda kusiko julikana... ina shangaza watu wamesoma na kuhitimu ina wezekana na ajira wamepata wana hudumu sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi, alafu baadae tuna kuja kufuta kile...
Habari wana jukwaa
Kuna mtu aliniuliza hili swali nikashindwa kumpa jibu
Anataka kwenda kusoma degree ya maendeleo ya jamii na anataka kukaa nje yaani kupanga
Kati ya chuo cha bamaga mwenge na...
Nashindwa kutambua/kuelewa nini chanzo cha TAMISEMI kuchelewesha selection za wanafunzi watakaojiunga kidato cha tano mapema July mwaka huu. Hadi sasa tumebakiwa na siku 21 tu/week 3 mwezi huu...
Habari JF.
Nisehemu gani naweza pata mterials ya advance comb za science kwa dar? Kama vile ma pamphlet ya walimu maarufu na vitabu pia, na unanishauri ninunue pamph za mwalimu gani na vitabu vya...
Imepita takribani miezi 7 tangu firm 4 2017 wamalize mitiani na takribani miezi 5 toka kutangazwa kwa matokeo.
Cha kushangaza mpaka sasa wanafunzi hawajui hatima yao huku shule za binafsi zikiwa...
Ninavyokumbuka ni kuwa kulikuwa na kipengele cha kuandika namba ya akaunti kwenye maombi ya heslb online. Kwa sasa sikioni. Je kwa waliojaza tayari hicho kipengele walikiona na walijaza? Je ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.