The Government of The People’s Republic of China has made scholarship offers to the African Union Commission, through the Department of Human Resources, Science and Technology, to enable African...
Najiuliza vijana wamefanya mtihani wa form4 October mwaka jana, March/April (miezi 5/6 baadae) tumekuwa na uombaji wa kujiunga na masomo chini ya NACTE na Vyuo vikuu Vichache. Selection za F5...
Institute of of Procurement and Supply (IPS) kinawatangazia kuwa kimeanza kutoa mafunzo ya Public Private Partnership (PPP) kwa watakaohitaji wasiliana nasi kupitia namba hii 0718476238
KAFARA ZA BILLY GATES NA UOGA WA KIZAZI CHA MTANDAO.
Mnamo mwaka 1974 majira ya joto bara la Amerika ya kasikazini, vijana wawili marafiki wanaona Tangazo la toleo jipya la tarakilishi. Tangazo...
Huenda hata jina nimekosea (japo sina uhakika).
Naomba kujulishwa ni kozi gani za afya wanatoa kwa ngazi ya diploma.
Nataka nisome Clinical Medicine.
Na kama itawezekana naomba nijulishwe vyuo...
Kuanzia mwaka 2015 na kuendelea kuna wimbi kubwa la shule nyingi za Private kufungwa ama kubadilishwa matumizi.
Hata zile ambazo bado zipo zina survive lkn zinajikongoja kwa taabu kubwa sana...
Utafiti uliofanywa ni watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Harvard na vyuo vingine vikuu vya Marekani kuna uhusiano wa "kuaminika" kati ya viwango vya juu vya joto na mafanikio ya shuleni.
Vipimo vya...
helow!
ndugu zangu naomba kujua procedures za kufuata kwa mwanafunzi anayeendelea na masomo pindi anapotaka kutuma maombi ya mkopo,bodi ya mkopo (heslb) afanyaje ili aweze kuambatanisha na...
Wadau naomba kwa yeyote anayejua kama tangazo la kutuma maombi vyuo vya afya intake ya september je limetoka? naombeni msaada wenu tafadhali anayejua anijulishe
Wanajamvi habari za leo?
Naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia NECTA examiners report (especially kwa mitihani ya kidato cha nne) niko interested sana na somo la History. Kuna wakati nilipata...
ArcGIS can do the best work in coordinates conversion from one format to another with highly accurate which will keep #Spatial #Analysis to be great..Friends welcme all together to Learn this task...
Habari wadau,
Nina jirani yangu yeye ni mfanyakazi wa serikalini, mwaka jana alirisiti mtihani wa kidato cha nne na kufanikiwa kupata credit 3 sasa ana mpango wa kufanya mtihani wa kidato cha 6...
Tangu miaka ya 1930, serikali ya Tanzania iliweka utaratibu wa kupunguza upungufu wa madaktari bingwa nchini. Kwa mujibu wa utaratibu huu, kuna ngazi tatu za wataalam wa huduma za afya.
Ngazi...
Wakuu!
Heshima kwenu.
Nina research project nafanya katika shule mbalimbali zilizopo dsm, hasa za kata.
Ninaomba msaada wa kuelekezwa wapi shule za sec. za DSM zinapatikana. Uzi huu uwe maalum...
Wasalaam. Nianze na kumshuru m/mungu mana nilichokua nakitaka nimekipata, miez kadhaa ilopita nilileta uzi apa nikitaji cd au dvd kwa masomo ya o level . Juz nimeckia clauds kuna mwl katangaza ana...
Habari za wakti huu msomaji... Ni matumaini yangu kwamba u mzima wa Afya na umeamka salama kutimiza majukumu yako ya Leo.
Leo ni siku muhimu usikubali ipotee.
One day can make you grow.
Karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.