Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu, Tujikumbushe enzi nzetu kidogo na tuone nani alikuwa nondo na nani alikuwa kilaza enzi zake akiwa sekondari. Tupia somo lako pendwa hapa tukudunge swali. Au weka swali la somo lolote la...
0 Reactions
203 Replies
10K Views
Wale Wote wanaotarajia kuomba mkopo ili kupata ufathili wa masomo katika ngazi ya diploma uzi huu ni special Kwa ajili yako . Uliza swali ujibiwe
0 Reactions
34 Replies
16K Views
Baraza la Taifa la Elimu na Ufundi ( NACTE ) limevifungia vyuo 20 kutokana na mapungufu mbalimbali. Kikubwa tuwe makini na vyuo vya uchochoroni maana sasa hivi ni rungu tuu. Orodha kamili ya...
1 Reactions
18 Replies
8K Views
Ningependa kuuliza je mimi ni kijana niliyemaliza kidato cha nne mwaka jana na kufanikiwa kupata division two..Je ninaweza kuapply chuo chochote Tanzania na kuanza kusoma kwa level ya diploma au...
0 Reactions
2 Replies
964 Views
Kwa miaka mingi wengi walizoea kuona wasomi walio wengi wa taaluma wakibaki kufundisha vyuoni hadi kumaliza utumishi wao. Hata hivyo, miongoni mwao, wachache walikuwa wanapata fursa adhimu za...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwanza kabisa niungane na Watanzania wote katika kuomboleza msiba mzito wa wapendwa watoto wetu Maria na Consolata. Kutokana na jinsi wazazi, Walimu na hasa mapacha walioungana Maria na Consolata...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari WanaJF, Mimi nipo kwenye tasnia ya elimu hasa shule binafsi za International.. Nimeshuhudia watoto wanaanzishwa shule wakiwa na umri wa miaka 3 hadi 4 na anafuatilia kitaaluma hivyo...
15 Reactions
216 Replies
26K Views
Habari zenu. Naomba mwenye taarifa za lini wanafunzi waliomaliza kidato cha 4 mwaka 2017 watapangiwa shule za serikali kwa ajili ya kuendelea na kidato cha tano anijuze. Au kama tayari...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Ukiachilia mbali udaktari/ualimu ni kozi gani yenye ajira ya moja kwa moja hasa kwa michepuo ya sayansi-?
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Wakuu, Naomba mwenye hio syllabus anisaidie Plz
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nataka kuuliza kwamba kwa waombaji wa mikopo tunaoishi vijijin/maeneo yasiyokuw na huduma za kibenki je kuna namna ya kufanya malipo kwa njia ya simu
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Soma: Viongozi wa Serikali na Wanachuo wa Chuo Kikuu Bugando wafukuzwa Chuo
0 Reactions
3 Replies
2K Views
- Ubadhirifu wa fedha za wanafunzi masikini unaokadiriwa kuwa Zaidi ya billion 2. - Wanafunzi hulipishwa Tsh 200,000/= ya matibabu ya Bima ya NHIF huku gharama za bima ni Tsh 50,400/= - Ada...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa wale wanaowafahamu vijana wacheza basket, kuna scholarships kwa ajili ya vijana kwenda USA. Umri uwe kuanzia miaka 12-16. Awe na kipaji kweli kwakuwa atahitajika kurekodi video ya dakika moja...
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Ivi ningependa kufahamu GPA ya CO kwenda MD ni ile inayopatikana baada ya kufanya Final exam au ni Cumulative GPA ya Mwaka wa mwisho(1st&2nd semester)ama ni Cummulative GPA ya miaka yote...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wandugu samahanini,mimi n mhitimu wa diploma koz ya kilimo sasa mwaka huu nilihitaji kusoma sasa nimeanza kujaza taarifa za awali hizi kujaribu kuomba mkopo nimekutana na inshu ya awards...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
kama tunavyo jua tarehe 6/08/2017 HESLB inafungua mfumo wake kuruhusu wanafunzi kuomba mikopo, na mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 4/09/2017. Huu uzi uwe special kwa matatizo, maswali, dukuduku...
0 Reactions
234 Replies
51K Views
Habari wanajf Baraza la mitihani Tanzania lilitoa tangazo la kutoa vyeti mbadala kwa waliovipoteza. Kwenye tangazo lao wanasema vyeti hutolewa siku 30 baada ya uchunguzi Kufanyika ila cha...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habarini za kazi ndugu wapendwa,,naomba kuuliza ivi kama mtu akihitaji kusoma advanced diploma ya clinical medicine kwa kutumia cheti cha form six anafanyaje?
0 Reactions
1 Replies
942 Views
Hanari za mida hi wanajukwaa Nilikuwa napenda kujuzwa au kuuliza kuna vyuo gani vya serikal vya diploma in clinical medicine vinavyopatikana mkoa wa Arusha na Kilimanjaro. Naombeni msaada wenu...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Back
Top Bottom