Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Samahan wadau, nimeambiwa kuwa majina ya wanafunzi waliokosea maombi ya mkopo yametolewa na loan board ila najarbu kutafuta siyapati, kwa anayefahamu zaidi naomba msaada kwa hili. Sent using...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Wadau poleni na safari ya URUSI baada ya kurudi salama naomba mnishauri katika hili.Binti yangu amemaliza kidato cha sita mwaka jana matokeo yake kapata div 2,pts 12.Alikuwa anasoma combination ya...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Habari wakuu Moja kwa moja kwenye mada. Juzi nilipanda na uzi wa kuuliza kuhusu mdogo wangu wa kike aliyepata DIV 3 ya 14 katika mchepuo wa PCB yakuwa ataweza kusoma shahada yake ya awali, jibu...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mwenyekujua kwa nini KIU Dar haijawekwa tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, Naomba mwenye nakala ya barua inayoonyesha mfumo mzima wa barua ya kuomba kibali cha kuhamia halmashauri nyingine katika mkoa mwingine. Au layout nzima ya kuomba kuhamia halmashauri...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Habari zenu wanajamvi, mdogo wangu kachaguliwa zanzibar college of health na lugalo(private) coz moja kote sasa haelewi akasome wapi? Ni kipi chuo kizur kati ya hivyo viwili? Kuhusu ada hakuna...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Mwenyekujua kwa nini KIU Dar haijawekwa tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
YAH: OMBI LA KUHAMISHIWA JANGWANI HIGH SCHOOL Mimi ni Sadick francis Masilu, (BAED) ninaomba mamlaka zinazohusika na uhamisho na uteuzi mnipeleke nikafundishe JANGWANI HIGH SCHOOL sababu nina...
4 Reactions
30 Replies
4K Views
wadau naomba kuuliza kwa anaejua .kna dogo aliungq vyeti viwil vya form four akafqnya mtihan wa form six mwaka huu..asa anatka kuapply mkopo na kwnye bahasa hizi mpya kuna sehemu unatkiwa uandike...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Haihitaji kufanya utafiti wowote ili kujua mchango wa wanafunzi wa vyuo vya Muhimbili katika kuharibu maadili ya wanafunzi wa Jangwani Secondary. Wanafunzi hawa wanatumia kuwepo kwao chuo kikuu...
3 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari zenu wadau,nimeona katika forum hii watu hupata ushauri mzuri kuhusu matokeo yao na vitu gani wasome,na mimi naombeni msaada wenu tafadhali katika hili. Kuna rafiki yangu amemaliza kidato...
0 Reactions
23 Replies
19K Views
dogo langu amepata 1.8 PCB anataka kusoma MD. Atapata chuo?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Taarifa kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita,wengine wanaotaka kujiunga na ngazi mbali mbali za elimu ie.Certificate,diploma,undergraduate na postgraduate. Kuna maonyesho ya tume ya vyuo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
HABARI ZENU TUNATAFUTA MTU/WATU AMBAO WATATUPATIA NOTES NZURI SANA ZA MASOMO YOTE YA SEKONDARI NA PRIMARY(primary class 1-7, o level na a level) NOTES HIZO ZINATAKA KUCHAPISHWA KWENYE WEBSITE...
0 Reactions
0 Replies
522 Views
Hivi no vixuri Ku apply vyuo vingapi kma MTU ana division 2 ya 10 comb HGeconomic.... Na chuo kipi
0 Reactions
4 Replies
740 Views
In today’s technologically oriented economy, it’s no surprise that employees with strong computer skills fare better in the job market than their tech challenged counterparts. This trend...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nilikuwa napitia tuuu baada ya machungu ya kukosa ajira ya ualimu nikajaribu kupitia walimu walioajiriwa wa mwaka 2016 na kisha nikapitia wa mwaka 2017. Nilianza na waalimu waliomaliza 2016 ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu ,ninaomba maelezo kuhusu shule hii ( kama kuna walimu wa kutosha ,mazingira yake ,hostej,ufaulu wa shule) inshort mazuri na mabaya asanteni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Vyuo vinavyotoa degree ya ECE hapa Tanzania ni pamoja na TUMAINI MAKUMIRA UDSM UDOM AGAKHAN vingine ongeza,, 5. 6. 7.
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Wasalaam, Nimepewa kazi na mzazi wa kijana mmoja kuwa nimshauri kijana wake achague kozi na chuo anachoweza kupata shahada.Kiukweli mimi ni mzoefu kwenye kada za Sayansi(Mhandisi) sasa imeniwia...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom